Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,670
- 50,988
Na wewe piaGod bless you all in here!
Wanawake mnapenda kubembelezwaKassim anaimba yule boya, anabembeleza chaaa.
Lalalalalallaalaaaaaaaa
Tazama sura yako ilivyo nzuri
Macho mazuri, najihisi rahaaa
Tazama midomo yako mizuri
Miguu mizurii, najihisi raahaa
Tazama unavyonipendeza nipendezaaa, Najihisi rahaa
Tazama ninavyokupenda Nnavyokupenda, Najihisi rahaa
Napenda unavyoniheshimu kiukweli japo sio sana nakuomba zidisha
Napenda kauli zako ni nzuri japo sio sana nakuomba zidisha
Wanaosema asali inazidi utamu kuliko mapenzi nakataaa
Wanaosema asali inazidi utamu kuliko kupendwa nakataa ayaayaaya
Usiende kwa mganga (usiendeeee baby wangu)
(Usiende mpenzi wangu)
Nisikize mpenzi wangu
Lalalalalalilihaaa lalahaalaaah
🥲🥲Grahams namrudisha sasa mjuukuu wako tumetoka hapa alikuwa sex ile mbayaaaa yani 😀😀😀View attachment 2205272
Hujambo kakaGlobalisation![]()
Ndio pigo zangu hizo nikishavimbiwa😂ulijuaje
Hivi wanaanza lini?Kwani wanakamatika sasahivi??? Kuna yenye yanajifanya vichwa unawaita chobingo uwape fainotachi ukazie ma posibos yenyewe yako chaka eti yanameza !!!
Sijambo mpendwa vipiHujambo kaka
SafiSijambo mpendwa vipi
Ya Kassim eeh?😂😂Mama mchungaji ebu weka na ka voice note kanogeshe hii nyimbo tafadhali
MuhimuWanawake mnapenda kubembelezwa
Sikufikisha… naomba niuseme hapa..Watasoma..
Kwa wote mnaomwita Satoh ‘dokta… muachee , maana yeye sio dokta na wala hajawahi kufikiria kuwa.
![]()


..nimecheka sn