cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,239
Nawee selfika leo.Sepfika leo basi dear![]()
Nawee selfika leo.Sepfika leo basi dear![]()
Cocoa butter ipi sio ile ya Resty inayouzwa 40,000 sijui auKiukweli mie natumia cocoa butter tyuuuh,
Perfume, lotion za ghali, au mafuta ya harufu kali kwangu mwiko.
Nateseka mnooo.
Nipo mtu wangu , oh alikua Nash9 huyo, vipi mualiko kuna chochote cha kutafuna hukoIce mbna ulipotea sana? Afu nliona kuna jamaa alikua anatumia avatar yako, sijui nan vile nmesahau,
Uwiiiiiih kumbe upo lol.



Hapana mie yangu ni 10k tyuuh, kopo kubwa, kat 7k, ndogo 5k.Cocoa butter ipi sio ile ya Resty inayouzwa 40,000 sijui au
Ooh kumbe hupendi marashi hivyo .. mimi sijali huu uso kabisa sipaki kitu
Depal ndy mwanasheria wangu ndy maana amenisemea yeyeKwann asiseme yeye? Nawee kwann uchelewe kutuambia?
Haya tumesikia na kuelewa.
Same mim pia huwa sipaki mafuta usoni kabisaaCocoa butter ipi sio ile ya Resty inayouzwa 40,000 sijui au
Ooh kumbe hupendi marashi hivyo .. mimi sijali huu uso kabisa sipaki kitu
Yaan labda ukaribie tutazame movie kutwa nzima, maana hakna chochote, tutanunua pop corn tutafune.Nipo mtu wangu , oh alikua Nash9 huyo, vipi mualiko kuna chochote cha kutafuna huko![]()
Bas sawaaaah.Depal ndy mwanasheria wangu ndy maana amenisemea yeye
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hapana mie yangu ni 10k tyuuh, kopo kubwa, kat 7k, ndogo 5k.
Nachukuaga kopo kubwa, nakaa nayo had mwez mzima.
Mambo ya gharama hivyo siwezagi, nashukuru tyuuh still niko safi pia. Wala sisumbuki yaan
Wee hupaki? Mie nisipopaka napauka yaan. Huwa napaka tyuuh.Same mim pia huwa sipaki mafuta usoni kabisaa
Ooh yani unajikuta umezoea kabisaSame mim pia huwa sipaki mafuta usoni kabisaa

Yes nimeipenda harufu yake, na imenikubali.Ooh nikahisi hiyo
Cocoa butter huwa ni nzuri sana ... Harufu yake huwa nzuri sana .
Ooh yeah kikubwa kuenda na kile ukipendacho
Duuuuh hivi kumbe chunusi zinasababishwa na mafuta eeeh?Ooh yani unajikuta umezoea kabisa
Nilianza kisa kuhofia nisipate chunusi hadi leo
Ooh harufu nzuri sana hapo upate na parachuteYes nimeipenda harufu yake, na imenikubali.
Nlikuaa nashinda na baby care tyuuuh, afadhar cocoa kaja kunisitiri.
.Nina ngozi ya mafuta yaan siwez kabisa kupaka mafuta usoniWee hupaki? Mie nisipopaka napauka yaan. Huwa napaka tyuuh.
Ukiwa na ngozi ya mafuta upo likely kupata chunusi hivyo inabidi uwe makini na unachopaka usoni .Duuuuh hivi kumbe chunusi zinasababishwa na mafuta eeeh?
Wengine tuna ngozi za mafuta basi nikipaka hata kidogo nawaka huo uso utafikiri nimepaka bobo zima😂😂Ooh yani unajikuta umezoea kabisa
Nilianza kisa kuhofia nisipate chunusi hadi leo
Yaan cocoa imekuja kunisitiri mnooo.Ooh harufu nzuri sana hapo upate na parachute
Maisha unayapatia mwenyewe.
Kuna mafuta nimeyapenda hayo Amara for men
harufu imetulia hivi
Ndo hapo sasa una shine tu mwenyeweWengine tuna ngozi za mafuta basi nikipaka hata kidogo nawaka huo uso utafikiri nimepaka bobo zima![]()
Aseeeeeeh ahsante kwa somo, nisivyopenda chunusi au vipele,Ukiwa na ngozi ya mafuta upo likely kupata chunusi hivyo inabidi uwe makini na unachopaka usoni .
Sasa upake mafuta siyo ndo hapo zitakujia vibaya . Wanashauri kama una oily face tumia lemon products ndo zinafaa .