Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sponsor km sponsor?
Card mbna nitagawa mapema mnoo, tena wadau wa selfika, watakua ktk kamati mbali mbali.

Usichukulie serious, hahahahah.
Mimi nitakuwa kamati ya mavazi tafadhali😂😂😂😂
Nachinjia watu mlangoni
 
Kwani wanakamatika sasahivi??? Kuna yenye yanajifanya vichwa mwalimu unawaita chobingo uwape fainotachi ukazie ma posibos yenyewe yako chaka eti yanameza !!!
Nimekumbka mbali sana, yaan siku hiyo tcha kaniita kunipa manotes ya mwsho na maufund kidg, nkaea naona ananipotezea muda wa mie kumeza,

Aseeeh kuja pepa hivi, yaan km ningekosa kupewa ile last nomiees, ingekua hatar. Yaan nilikua nashuka tu. Hahahah nlimshukuru baadae.

Huu muda ndo walimu kuwajazia ya mwsho mwsho hao madogo.
 
Nimekumbka mbali sana, yaan siku hiyo tcha kaniita kunipa manotes ya mwsho na maufund kidg, nkaea naona ananipotezea muda wa mie kumeza,

Aseeeh kuja pepa hivi, yaan km ningekosa kupewa ile last nomiees, ingekua hatar. Yaan nilikua nashuka tu. Hahahah nlimshukuru baadae.

Huu muda ndo walimu kuwajazia ya mwsho mwsho hao madogo.
Ndoivo shos Next monday tarehe 9 wanaingia mzigoni!
 
Back
Top Bottom