Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,930
- 136,695
Dear umependeza natamani uwe karibu nikuchore zaidi
Naendelea kuchorwa mwenzangu. Hii ni ya kucha,naitoaDear umependeza natamani uwe karibu nikuchore zaidi
Aisee Hadi nimetamani sie haturuhusiw kupaka mikononi kazini yan tuishie kwenye kucha tu

Yaan natamani nijue mie, hebu nifundishe tyuuh.
Sorry, huyu mchoraji n mkaka au mdada?Leo kazi kazi hakuna kulalaView attachment 2207948
Sijaona mie mbna.
Asante mkuu.Mapigo yako ya kibabe sana mkuu![]()
Nashukuru sana boss ila hela ya vocha ninayo.Dah! Aisee, ok niPM no yako nikutumie hela ya vocha
Nakuona kwa mbaaali Aunt wa Junia.EID MUBARAKView attachment 2207899View attachment 2207900
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Oh kumbe!Nlibahatika kukutana nae live posta ktk ofisi 1 ya umma, alikua na jamaa fulan hivi walikuaga wote ktk movie zao, yaan nlivomuona nilipatwa na shauku ya kutaka kumsalimia ila nliogopa,
Walivyotoka nkamuuliza mtu wa pale akanithibitishia ni yeye na yule jamaa n mumewe. Yaan kaolewa na msanii mwenzake.
Nilijaribu kuangalia nikaona hainivutii.Ooh yeah
Alikuwa yupo vizuri kweli .. legendary kabisa
Hapa nasubiri nione movie ya ITV niliiona week iliyopita inaitwa mimba .
Hiyo mishale imenichekesha🤣Mwalimu wa bure 🥸
View attachment 2207846
Kujiajiri ni vizuri sanaNataman sana nijue, ili siku ya shughuri au harusi niwe napata order, kujiajiri shost,![]()
Nilijaribu kuangalia nikaona hainivutii.
Huyu Mohammed Nurdin sijui yuko wapi siku hizi.
Na huyu mama alikuwa anapendeza akiigiza ukali.
View attachment 2208133
Mohamed Nurdin yupo kwenye tamthilia ya Huba siku hiziNilijaribu kuangalia nikaona hainivutii.
Huyu Mohammed Nurdin sijui yuko wapi siku hizi.
Na huyu mama alikuwa anapendeza akiigiza ukali.
View attachment 2208133
Bi Hindu?Nilijaribu kuangalia nikaona hainivutii.
Huyu Mohammed Nurdin sijui yuko wapi siku hizi.
Na huyu mama alikuwa anapendeza akiigiza ukali.
View attachment 2208133
Nikita na Kelvin. Lini sijui niliona mahojiano yao wanasema wanarudi kwenye acting..Nlibahatika kukutana nae live posta ktk ofisi 1 ya umma, alikua na jamaa fulan hivi walikuaga wote ktk movie zao, yaan nlivomuona nilipatwa na shauku ya kutaka kumsalimia ila nliogopa,
Walivyotoka nkamuuliza mtu wa pale akanithibitishia ni yeye na yule jamaa n mumewe. Yaan kaolewa na msanii mwenzake.
Hivi KAPUNI haikuwa na mwendelezo au nini kilitokea? Nilijua wanakuja na season mpya ila kimya mpaka Leo, tukahamia Jua KaliMie KAPUNI ndo ilinibamba mnooo.
Yaan sichoki kutazama.