cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Mnooo. Ila Kapuni inanikosha mnoo.Ooh kumbe. Ngoja tuone, japo imekuwa ni kitambo
Mnooo. Ila Kapuni inanikosha mnoo.Ooh kumbe. Ngoja tuone, japo imekuwa ni kitambo
Hahah!Na yule mwenzie Bi Mwenda mchawi mkuu.![]()
Heee..
Niliforce kujificha kule kumbe Chaka langu ni hapa😉Siku zote maumivu maumivu
Yapo kutufunza
Tukipata furaha, jinsi gani ya kuitunza
Huko nyuma hukumu
Hukumu zilisha nikumba
Na mateso kung'ang'ania
Pendo usipopendwa
Niliforce kujificha kule kumbe
Chaka langu ni hapa
Sasa napewa amani
Mapenzi yasiyo na mipaka
Ananikanda huku mabegani
Ananishika na hapa
Masage mgongoni
Yananilevya makopa





nataka niwe na mtu mwenye sura personal. Sasa yale macho sasa? Yupo kwa JUA KALI.Hahah!
Yule bibi naye mkali kwenye hicho kitengo
Watu mpo ktk mapenzi moto moto wacha wee,Niliforce kujificha kule kumbe Chaka langu ni hapa
Amebarikiwa Utu na utulivu






Wanarusha channel gani hizo tamthilia?Sasa yale macho sasa? Yupo kwa JUA KALI.
😂😂😂😂Watu mpo ktk mapenzi moto moto wacha wee,![]()
Ni kwenye HUBASasa yale macho sasa? Yupo kwa JUA KALI.
Koh Koh KohNiliforce kujificha kule kumbe Chaka langu ni hapa😉
Amebarikiwa Utu na utulivu
Kinachokukoholesha ni Nini?Koh Koh Koh
Ziishie hukohuko, sizitakiKinachokukoholesha ni Nini?
Taarifa nitakazokupa zitakukata maini🤣🤣
Dah upo makini sana mchumba!
Wageni wa browser wanajulikana tu😂Dah upo makini sana mchumba!
CCM mbele kwa mbele 🌙💚🏃🏾♀️Wengine Idd kesho na keshokutwa!!View attachment 2208452
Wengine Idd kesho na keshokutwa!!View attachment 2208452