Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Sisi tunajua ni keshoIdd ni jumanne

Sisi tunajua ni keshoIdd ni jumanne

Duh! Dizasta...
Wow nzuri imependeza kwa kweli


Najiona nani sijuiWow nzuri imependeza kwa kweli

Hongera, nazipenda sana hizi..I always remember mama nikiona kitu ya namna hii...!
Chef wa kimataifa
Hopefully maza house atakuwa anafanya mamboHongera, nazipenda sana hizi..I always remember mama nikiona kitu ya namna hii...!

Wa kimataifa wapi,Chef wa kimataifa
Mimi pia huwa sipimi .. mwendo wa kukadiria tu
Kupima wanasemaga ni muhimu unaweza kuta umezidisha baking powder .

Naendaga shimoni kule kariakoo wana vifaa vingi vya keki ..
Kadi yako ni VVIP madamNije bila kualikwa?
Ndo huko unaelekea hukoWa kimataifa wapi,
Hata kuwa wa kijiji wijafuzu
Yaani naweka weka tu.
InshaaAllah
Niliviona.Naendaga shimoni kule kariakoo wana vifaa vingi vya keki ..
Leo Eatv wametuwekea Devil kingdom naona
😂😂😂Kadi yako ni VVIP madam
Na ulinzi umeshaandaliwa
Jipange tuu
Ooh vyemaNiliviona.
Ni mwendo wa kunuenzi Kanumba tu .
Mimi naisubiri ya Johari![]()
Hahaha unayaweza dear
Ukiwa nyumbani unakuwa mpole au ?
Sema muda mwingine watu huwa wanakera mno
Inakubidi tu uongee yaishe .





mie mpolee nikiwa sehemu ya ugenini, au na watu nisio wazoea. 
