cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Hivi Lamata, si ni Leah Mwendamseke?Ooh nice
Naona watu wanazisifia kweli ..lamata leah ni producer anayejua kweli .
Hivi Lamata, si ni Leah Mwendamseke?Ooh nice
Naona watu wanazisifia kweli ..lamata leah ni producer anayejua kweli .
Kubalance moto kwenye mkaa ni mtihaniUnajitahidi tena kwa mkaa
Mkaa ilivyo mibaya hii .. inatoka vizuri kabisa .
Hebu tag location,. Afu kuna shughuri pambeee nimealikwa.Kile?
Njoo uchukue hata sasahivi![]()



Yes ndo yeyeHivi Lamata, si ni Leah Mwendamseke?
Eeeh yule dada anajua kutoa kitu, zamani alikua akitoa kazi za Nikita, yaan alikua anatisha mnooo.Yes ndo yeye
Kilivyo kibaya vile ukachafue ukumbi wa watu😂Hebu tag location,. Afu kuna shughuri pambeee nimealikwa.
Sasa vazi sijui nipige lipi, hebu nipatie nikatingishe ukumbini aseeeh.![]()
Nikita sijui yuko wapi..nilimpenda yule dada jamanjEeeh yule dada anajua kutoa kitu, zamani alikua akitoa kazi za Nikita, yaan alikua anatisha mnooo.
Town hapa mambo ni mengi, once in a while anafanya.Hopefully maza house atakuwa anafanya mambo![]()
Kilivyo kibaya vile ukachafue ukumbi wa watu![]()




hebu huko kile kikali ujue, sema wee hutaki kukivaa tyuuh.Mtihani haswaKubalance moto kwenye mkaa ni mtihani
Ooh basi yupo vyema toka mudaEeeh yule dada anajua kutoa kitu, zamani alikua akitoa kazi za Nikita, yaan alikua anatisha mnooo.
HahahaYaan mie hapa mbavu cna ujue.![]()
Mara Moja Moja siyo mbayaTown hapa mambo ni mengi, once in a while anafanya.
Kikali Gani!?hebu huko kile kikali ujue, sema wee hutaki kukivaa tyuuh.
Nlibahatika kukutana nae live posta ktk ofisi 1 ya umma, alikua na jamaa fulan hivi walikuaga wote ktk movie zao, yaan nlivomuona nilipatwa na shauku ya kutaka kumsalimia ila nliogopa,Nikita sijui yuko wapi..nilimpenda yule dada jamanj
HahaaaZa kwa Mwamposa
Hiyo siifahamuMie KAPUNI ndo ilinibamba mnooo.
Yaan sichoki kutazama.
Mbna hadi movie za ngumi kaongoza yule.Ooh basi yupo vyema toka muda
Nimemjua miaka hii ya karibuni kumbe yupo kwenye game muda sasa .



