Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mie tenaaaa huyu? Tena kwako wee? Hapana labda nikuunganishe, mie ni terminator wa kutupwa, nashusha vocal had mtoto mkaree Tinsy anaingia kambani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nataka nikamfanyie usafi tuuu
Nimuoshe nywele, miguu, nimpake rangi Tinsley apendeze afurahi anipe changu nisepe😁
 
Putin sucks!

Russia sucks! [emoji51][emoji51][emoji51]

3.5 hours more to go...

Thank you Jesus [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
20220501_085419.jpg
 
Yaan nisipochambana na mtu au kumtibua mtu sijisikii poaa, yaan kila siku lazima mtu m1 niwe na jambo nae, chuo wanakoma mbna.
Yaan nikiamka lazima mtu m1 niamke nae, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimekumbka kuna siku mkaka wa chuo nkaamka naye, acha anifanye nikimbie peku chuon km mtoto khaaah.
Alikukomesha😂😂🤣!
 
Back
Top Bottom