Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Ni maporini tu huku yaani very green. Na wenyewe wanafyeka mikeka yao na kuitunza vizuri basi ni kuteleza tu. Very refreshing....Huwa napenda sana kuona mawingu na hiyo greenish....![]()



Wow panaonekana ni pazuri jamani.Ni maporini tu huku yaani very green. Na wenyewe wanafyeka mikeka yao na kuitunza vizuri basi ni kuteleza tu. Very refreshing....
Mungu ni mwema. Tumeshafika salama
View attachment 2207681
Karibu mwaya 😆
Sikatai 🙈🙈Lizzy wewe ni Foodie..... 😆
Halafu kuna mwamba mwingine naye ni Foodie anaitwa donlucchese......
Nimenunua jana hivi.Kizuri sana,
Natamani nikiombe.
🤗39 mkuuNimenunua jana hivi.
Size ngapi unavaa? Naweza kuja TZ baadaye mwaka huu.
Eti eeeh?Ugonge na kaptura sasa hapo![]()
Kabisa wewe nsiye boss wangu mkubwa kabisaEeeh?😃
Mkuu naitelekeza kuanzia sasa hivi.. Niliingia ku clear vimeo vyangu PM nimemalizana navyo..Tekeleza ahadi yako! Usisumbue ma....ex wako tuache tupite nao!![]()
Heaven Sent ile CPA si ulikamilisha?Nataka mhasibu alie sajiliwa na muhuri wake haraka haraka location Morogoro - PM
Akiwa Morogoro - Dodoma - Dar es Salaam sio mbaya.Heaven Sent ile CPA si ulikamilisha?
Fursa hii hapa
Daah afadhali nipate ajira jamaniHeaven Sent ile CPA si ulikamilisha?
Fursa hii hapa
Kumbe ndilo hili? 😁Sexy tege.
Ndiyo lenyewe hilo kabisaKumbe ndilo hili? 😁
Muone boss mkubwa chapDaah afadhali nipate ajira jamani
Mwaliko huo huna haja ya kusubiri mama mchungaji, wewe jiandae tuuNasubiri tu Mwaliko hapa 😂😂😂😇
Mjep nawapenda waislam😂😂😂