Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siwezi shosti
Sipendi kuongea kwa hasira maana najiharibia tu siku yangu hapo
Yaan nisipochambana na mtu au kumtibua mtu sijisikii poaa, yaan kila siku lazima mtu m1 niwe na jambo nae, chuo wanakoma mbna.
Yaan nikiamka lazima mtu m1 niamke nae,

Nimekumbka kuna siku mkaka wa chuo nkaamka naye, acha anifanye nikimbie peku chuon km mtoto khaaah.
 
Yaan nisipochambana na mtu au kumtibua mtu sijisikii poaa, yaan kila siku lazima mtu m1 niwe na jambo nae, chuo wanakoma mbna.
Yaan nikiamka lazima mtu m1 niamke nae,

Nimekumbka kuna siku mkaka wa chuo nkaamka naye, acha anifanye nikimbie peku chuon km mtoto khaaah.

Hahaha unayaweza dear
Ukiwa nyumbani unakuwa mpole au ?
Sema muda mwingine watu huwa wanakera mno
Inakubidi tu uongee yaishe .
 
Back
Top Bottom