Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Karibu mpendwa tujumueike 😍Mrembo eid Mubarak
Karibu mpendwa tujumueike 😍Mrembo eid Mubarak
Ndio wako vizuri kwenye sector hiyo .Aseeeeeeh kumbe wako vizuri sana?
Unacheka nini wewe dogonimecheka nusu nipaliwe khaaah.
Na kweli huwa tunajua kukonga nyoyo za wadadaNdio wako vizuri kwenye sector hiyo .
Tofauti na ke mara nyingi wana maneno mara hivi vile ,hapo amekuchamba tayari .
Mpo vizuri kwa kweliNa kweli huwa tunajua kukonga nyoyo za wadada
Ahsante mwayaMpo vizuri kwa kweli
Kongole kwenu
Ahsante mwaya

Ndio wako vizuri kwenye sector hiyo .
Tofauti na ke mara nyingi wana maneno mara hivi vile ,hapo amekuchamba tayari .





si mnachambana tyuuh, au wee heka heka huwezi?Mie tenaaaa huyu? Tena kwako wee? Hapana labda nikuunganishe, mie ni terminator wa kutupwa, nashusha vocal had mtoto mkaree Tinsy anaingia kambani.Unacheka nini wewe dogo
Unataka kunibania nisipate riziki wewe![]()






Siwezi shostisi mnachambana tyuuh, au wee heka heka huwezi?

Eeeeeh na mie niitage hivi, mwaya, shost,Ahsante mwaya






Yaan nisipochambana na mtu au kumtibua mtu sijisikii poaa, yaan kila siku lazima mtu m1 niwe na jambo nae, chuo wanakoma mbna.Siwezi shosti
Sipendi kuongea kwa hasira maana najiharibia tu siku yangu hapo








Nampa sifa zake jamani
Kuna mkaka mmoja yeye ukienda kuosha nywele unashangaa anaanza kukutekenya shingoni halafu anaosha muda mrefu .. watu wengi walilalamika kuhusu hili ..






aseeeeh wanafaidi, nataman ndo ningekua hao wakaka mweeeeeh.Yaan nisipochambana na mtu au kumtibua mtu sijisikii poaa, yaan kila siku lazima mtu m1 niwe na jambo nae, chuo wanakoma mbna.
Yaan nikiamka lazima mtu m1 niamke nae,
Nimekumbka kuna siku mkaka wa chuo nkaamka naye, acha anifanye nikimbie peku chuon km mtoto khaaah.
Hahahahaseeeeh wanafaidi, nataman ndo ningekua hao wakaka mweeeeeh.