OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Ndo hivyo mkuu.Mnh labda baadhi yenu
Ndo hivyo mkuu.Mnh labda baadhi yenu
Mezipenda mimi jamani
MmmmhhhhhNimekuchagua wewe kwa moyo mkunjufu



umenikumbusha mbali, ila Mange ni bangi eti wigi gumu hadi ukiinama chini lenyewe linabaki juu linakusubiri unyanyuke muondoke zenu.
Mkacomment kwa da mange awape vichambo vyenu
Mmmmhhhhh
Upepo wa kisulisuli umenileta!!









Yaani hawa watoto wamenishinda tabiaNielewe wapiiii mimi nimekukuta apa labda utakuwa umeokota okota
Hahahahaumenikumbusha mbali, ila Mange ni bangi eti wigi gumu hadi ukiinama chini lenyewe linabaki juu linakusubiri unyanyuke muondoke zenu.



kabisa dada usisahau na 'girisi'
inabidi vyuma niviingize kwenye maombi
AiseeeeeHuu uzi utaupiku makapuku forumView attachment 1250124
Ako na upepo wa kisulisuli
Hivi Mangi ako na nini eti jamani!
Hebu weka ila ya chama ulivaa leo dadaJamaniii tuwekeeni sura zenu basi tuwajue sio hayo mapichapicha mnayotuwekea
Unywele sio wa nchi hii kabisaa
Ya chama ipiiii jamani na ile uniform yetuHebu weka ila ya chama ulivaa leo dada
Ndio ndioUnywele sio wa nchi hii kabisaa
Saaanaaa
Huyu jamaaMzee wa kusaminisha vyura naona kimya kimya
ni kaka yako? mbona mnafanana sana?
Aiseeeee