General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,178
Hahah
Mbona babe
Upepo wa kisulisuli umenileta!!
Hahah
Mbona babe
Na mimi naombeni jamaniumbea wa code ni mgumu dada acha tu
Easy said than done.Hahahaha najua mna tule tumsemo twenu eti "hakuna mkate mgumu mbele ya chai"
But trust me as I am telling you this, mimi nimesoma shule breakfast tulikuwa tunakula mikate migumu hadi chai inasalimu amri yenyewe, yaani mkate ukimpiga nao mtoto mchanga kichwani anakufa, kwahiyo najua umeshaelewa namaanisha nini.
Nielewe wapiiii mimi nimekukuta apa labda utakuwa umeokota okotaUkielewa uniite dada
Ok. Let me sound like an African man.Then even the "will you marry me" shit ain't African at all
ÈeeehEti enh??
Na mimi naombeni jamani
Easy said than done.
Ok. Let me sound like an African man.
Karma nataka kukuwowa
Hizo couple bwana sijui I'd moja sijui nini na nini anaji cc mwenyeweHivi tuliishia wapi eti??
Demu wa kizungu napata mpambanaj?Wallahhhh Morocco habibView attachment 1250089View attachment 1250088



Mimi niliweka picha zangu wakasema sio mimi. Sasa nilibaki kushangaa wanasemaje sio mimi wakati sijawahi kukutana naonikaamua niache tuu.
Unasemaaaaaaa?? I'm off the market. Au unataka nimuite yule mwanasiasa aje akupige fix tena?
Wanangu ni
Shunie
Sakayo
Heaven Sent
cute b Saint anne na Karma ni wadogo zangu ila nao siwaelewi.
Jichagulie hapo yupi unamtaka.
Nataka kuuzwa etiiiiiiii
Wanangu ni
Shunie
Sakayo
Heaven Sent
cute b Saint anne na Karma ni wadogo zangu ila nao siwaelewi.
Jichagulie hapo yupi unamtaka.
Shemeji umeniitaShunie ni shemeji yangu