Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557



Yaani sura na umbo kila kitu cha shangazi jamani sijui nimemkosea nini Mungu mimiHahahhh..
Nilikuwa nakutambulisha kwa Atoto shemShemeji umeniita
Pole sana dadaaKichwa kinaumakwa kutaka huu umbea yaani umbea wa code haunibariki kabisa
Hizo couple bwana sijui I'd moja sijui nini na nini anaji cc mwenyewe
Sasa pole inasaidia nini jamaniPole sana dadaa
Ndiyo ukiacha ile couple iliyoanzisha huo mtindo kuna couple nyingine nayo imefuatisha huo mtindo hivi karibuni ndiyo watu wana wasiwasi kuwa ni mtu mmoja ila anajicc mwenyewe, sasa hapo kwenye kutaja majina sasa ndipo mtihani ulipo nikimtaja hapa najua kuna mtu atamuita.








Woyoooooooo 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Sasa we unataka nini?Sasa pole inasaidia nini jamani
Ndiyo ukiacha ile couple iliyoanzisha huo mtindo kuna couple nyingine nayo imefuatisha huo mtindo hivi karibuni ndiyo watu wana wasiwasi kuwa ni mtu mmoja ila anajicc mwenyewe, sasa hapo kwenye kutaja majina sasa ndipo mtihani ulipo nikimtaja hapa najua kuna mtu atamuita.
Ngoja kwanza mbona niliona Depal amejicc mwenyeweWoyoooooooo
Sasa mdogo etu nangoja ugeuke
Hahhaha basi karma ameshanifungulia codeSasa we unataka nini?
Alpellah 😋😋 au snickersZipi Ivori, Alpella, Dairy Milk au??
Mdogo wetu akigeuka watu watakimbizana ni vile kamfanana sana baba akeeWoyoooooooo
Sasa mdogo etu nangoja ugeuke
Jamaniii tuwekeeni sura zenu basi tuwajue sio hayo mapichapicha mnayotuwekea