Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Tuko na sura za baba zetuHuu uzi una vitu vizuri sana!!
Tuko na sura za baba zetuHuu uzi una vitu vizuri sana!!
Auntie ishia hapo hapo.Ndio mana auntie nimekufanana na wewe kwa kila kitu
Nitakutafutia kibabu "mkwe", halafu nikulipie vekesheniNikikutetea utanilipa?
hewalaaaa....ngoja niandije barua ya posa nipangiwe mahari mimiWe lete mahari tu.
Hebu geukia huku tukuone vizuri
Nitakutafutia kibabu "mkwe", halafu nikulipie vekesheni




Nakufata uko ulipo nikugeukie vizuriHebu geukia huku tukuone vizuri
Nikigeuka nitakimbiwa
Hahahaah uko juu bwana
Nimemjua hivi kumbe ni mtu mmoja yule



nimekumbuka mbali sana aise
Duuuuhh mambo ya jakata hayo enzi hizo tunatia chenja
Hahhaha mmejuaje sasaEendiwoo