Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Hajawahi kukwambia mimi na yeye ni damu moja kabisa! !
Tunafanana mengi kasoro Jinsia



Hajawahi kukwambia mimi na yeye ni damu moja kabisa! !



Jamaaaaniiiiinasepa zangu twitani, ila wajua niko JF sababu ya crew langu fulani hivi yaani likisambaratika hilo basi sijioni tena nikiendelea kuingia JF maana hilo crew ndiyo linanifanya nafurahi hadi nasahau shida zangu
Utakuwa umetisha sana...Unatumia Njia ipi kukata weight namna hiyo??
Dar es salaam au mwanza. Nisaidie kutaja mkoa basi
KhaaaMarcus Rashford![]()
We tulia na uangalie mpiraSawa Dada najua ushaanza kulifanyia kazi...![]()
Ninayo
Kabisaa kakaHutaki maneno mengi Dadaa![]()
Hehehe kuna wawili ujue, sasa ni yule old model au ile new model 😂😂😂si yule kwini eti
Huku jukwaani ananiita rafiki lakini pm ananiita "mchumba" nashindwa kuelewa kwanini haniheshimu![]()






Hamna wa kukusuta bana
Maisha yenyewe mafupii ujue
Tuitaneje eti hapa Jukwaani!??Huku jukwaani ananiita rafiki lakini pm ananiita "mchumba" nashindwa kuelewa kwanini haniheshimu![]()


Ndo nini eti jamaniendelea kumuomba Msubhate akufundishe maana nasikia ameshakuwa 'samjo samjo'