


ndiyo sehemu gani eti??
Nakuja kwako
Si nimetaja kuwa hapo ni ziwani kama sio baharini











Truth be told...



sasa si ndiyo haina matege jamani??
Unataka kunipa ile miwa ya nyongeza mdogo wangu mzuri mzuri!!
Zile ni pespsi jamani...
Mimi nasemea mirinda nyeusi banaa
Bora nibaki na tege langu mimi, natafuta mtu wa kunifundisha mapozi ya kusimama tuu mimi jamanisasa si ndiyo haina matege jamani??
Pespsi sio tamu jamaniSasa ndiyo nilimaanisha badala ya kunywa mirinda nyeusi unywe pepsi
Huku jukwaani ananiita rafiki lakini pm ananiita "mchumba" nashindwa kuelewa kwanini haniheshimuWewe anakuita nani eti jamani!!


hahaha jf bana...
Ni wapi eti jamani
Dar es salaam au mwanza. Nisaidie kutaja mkoa basindiyo sehemu gani eti??
Au wewe unasemaje mdogo wangu mzuri mzuri
Hamna wa kukusuta banaNaona unataka nisutwe mie
Hivi tulikuwa tunaongelea nini eti jamani??







