Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani acha tu ndugu yangu mimi kubembeleza kutumiwa picha za Sakayo na Atoto imekuwa nongwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tatizo wanaume wengi wa humu wakiombwa picha na wanawake mabichwa yanawajaa halafu hawatumi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We omba tu mama, mi mwenyewe najisikia burudaniii nikikuta picha za wadada kuliko za wakaka. Hebu wadada msiniangushe, dondosheni mapicha picha sasa[emoji6][emoji6]
 
usiwaze mkuu
Ila nimependeza eeh?
Screenshot_20190930-140945.jpeg
 
Yaani acha tu ndugu yangu mimi kubembeleza kutumiwa picha za Sakayo na Atoto imekuwa nongwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tatizo wanaume wengi wa humu wakiombwa picha na wanawake mabichwa yanawajaa halafu hawatumi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseeeee. Mbona mimi hujawahi kuniomba nikakukatalia ?
 
Mungu wangu sumu zote zimeshapita kwenye koo langu na kutua kwenye mabandama, finyango na maini bila kusahau figo
Huruma Zaidi ni koo na kifanyio kwakuwa hizo ndio inlet na exit sumu zilipita[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Saint Anna
Altar Wine
Robertson
Dompo
Konyagi
K Vant
Budweiser
Serengeti Lite
Safari
Balimi
Windhoek
Heineken
Smirnoff
Castle Lite
Amarula
Zanzi
Savanna
Tequila
Amstel
Valeur
 
Back
Top Bottom