Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Wewe si ndio yule mwenye kiuno dondora?
Mimi yangu ipo Kama Niko msibani![]()
Mimi yangu ipo Kama Niko msibani![]()
Labla mashindano ya wenye sura nzito hapo sina mpinzani😁😁😁hahahaha sasa kwani humu kunasura zinazoonekana
Mmmh shoga uwongo wewe na Nepal mko vizuri.Mimi yangu ipo Kama Niko msibani![]()
😂😂😂😂Wabaya tunajulika tu hata kama tukificha sura zetu.hahahaha sasa kwani humu kunasura zinazoonekana
Wabaya tunajulika tu hata kama tukificha sura zetu.
Dearest
Love youuuuDarling
Halina ubishi hilo...mwisho wa mwaka huu nitaweka top 10 ya warembo hapa kwa uzi. Nakutakua na zawadi nono kwa top 3Pesa cash 100k
Pia zawadi kama
Savanna/heinken/windhoek/wine/whiskey
Proudly sponsored na wanaume wote kwenye huu uzi tukiongozwa na Mshana Jr







Wanaume sijui wanajisikiaje wanaotupondaga jamani.
Kwenye Top 2 Sijui nakukosaje Rafiki!!Haya ndo mambo sasa
nimeweka na zingine nichekiUmeamua kunidanganya mchana kweupeee![]()
Mefurahi mimi jamani kakaMbona unacheka my Dada![]()
we schooled togetherMmhh umejuaje kama ni wa Mzumbe??