cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Wakamueni tu kila kitu
Zile nanii kama zinatoa maziwa basi kamua nayo mnywe babeq
Sina huruma Kwa wanaume wenye ndoa wachepukaji.





dada sukuwezi wee khaaah.Wakamueni tu kila kitu
Zile nanii kama zinatoa maziwa basi kamua nayo mnywe babeq
Sina huruma Kwa wanaume wenye ndoa wachepukaji.





dada sukuwezi wee khaaah.Sasa mtu anataka uchepuke naye for free??
Inatakiwa ukitoka hapo unakuwa ushamvuna hela za kutosha kama biko wanavyovuna buku za maelfu ya watu.
Hii itasaidia baba zetu,waume zetu kupata akili.





mbavu zangu mie jaman lolFafanua kwanzaAsante mno mno, umenipa moyo sana, hilo litawezekana kwani hakuna kisicho wezekana chini ya jua.
Ila uanaume wangu nao unasumbua!
Umeongea vizuri
Jioni nakupitishia gauni la kwa Mwakiswelelo![]()





wee tena sasa, nalitaka lile ingneUmemalizaaaaaah.Hawa wa huduma huwa sanasana wanatoka na kaka zetu mahandsome boy wa kuitwa Mario.



Umefanya vizuri Depal unajua Uzee huu hadi nasahau tarehe ya kwenda kuchukua mafao 😀
Mmeletewa vifaaa.. maalamu.. ya nini kuchepuka tena😂😂😂😂
Ila pia sio wanawake wote wanachepuka kwa ajili ya hela, kuna wengine wanahitaji huduma tu basi pesa wanazo zao za kutosha
Anaonekana mrembo huyo .

Uncle wako mtu wa watuu.. 😀😀😀Anaonekana mrembo huyo .
Uncle na wewe unafaidi sasa![]()
Wee njoo hapa ghorofa ya 3 utanikuta chumba no 9.



Upo vyema uncleUncle wako mtu wa watuu..![]()
Wee njoo hapa ghorofa ya 3 utanikuta chumba no 9.![]()

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 baba Jei kama baba JeiNilichojifunza,
Huu Uzi umejificha ila una vimaongezi flan vitamu vitamu huishiwi hamu kusoma.
Ukipazoea uku majukwaa mengine Unayasahau kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
kwamba vitumbua havipo ama,kisa cha kuuziana mikate hela za kodi ya nyumba nini?








Pambana na wewe tule ubwabwa wewe wapende wauza sura hao kuoa kwao ni mtihani