wanaume waliooa utawaweza bas, wenyewe kutwa kutaka kubadilisha ladha, utasikia "sio kila siku maharage", sasa hiyo nyama unayotaka hela unayo ya kununua? Kiruuuuuuh
muambie baadae atafunzwa mubasharaa,.
Afu mbna kuifinyia ni old version, now kuna new hiyo ni kibokooo
Jamaa asipokoroma km tractor la mkopo lilokwama jarubani la mpunga, mje mnidai chenji. Uwiiiiiih
muambie baadae atafunzwa mubasharaa,.
Afu mbna kuifinyia ni old version, now kuna new hiyo ni kibokooo
Jamaa asipokoroma km tractor la mkopo lilokwama jarubani la mpunga, mje mnidai chenji. Uwiiiiiih