Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Unataka video??? !!
Unanichekaaaa?
Unanichekaaaa?
Badae ntatuma basi mpaka ni trimNdiyo boss lady
Ndo maana nasema unapendeza na kila rangi dada , orange naivalia kwenye shirt tu ..hakika you have a keen eye for fashion .Kwa kweli Mimi nagonga zote tu; surprisingly nikishakuta tu njano nachanganyikiwa. Nataka niswitch kidogo kwenye burnt red/orange; ingawa najua nitarudi tu kwa yellow![]()
Haya ngoja na Mimi niende zangu kwa amani sasaBadae ntatuma basi mpaka ni trim
Nimeamua kupambana tu na hali yangu mdogo angu 🤣🤣🤣🤣Ndo maana nasema unapendeza na kila rangi dada , orange naivalia kwenye shirt tu ..hakika you have a keen eye for fashion .
Kikubwa kupendeza tu hapo ..Nimeamua kupambana tu na hali yangu mdogo angu![]()
Naelekea KimaraLocation Wapi?
AMEN mpendwaHappy SabbathView attachment 2156539
😃😃😃Hahah na farewell juu...
Sasa aunt abiria, tatizo ya hii makitu sio kuinywa ila tatizo ni pale inapoenda kituama baada ya kuibugia...
Oooooh mbna umenipita sasa daaah.Naelekea Kimara
😀😀😀😀😀 tena kwa huo upaja na guu hilo acha unitamani tu..Wakubwa mnafaidi siti ya pembeni unashika shika upaja tu uku unachukua na vipop corn mziki mzuri ndani gari inanukia uturi toka manza bay mungu akupe nini..enzi za ujana wangu nilisumbua sana
Hii ni ya ubuyu ehLovelucky Sindo ulikua unaulizia the other day?View attachment 2156330




Mbna hapo kwa zipu km pametuna? Afu kuelekea upande wa bible, au macho yangu?Happy SabbathView attachment 2156539



Aiseeeeeeeee!!Mbna hapo kwa zipu km pametuna? Afu kuelekea upande wa bible, au macho yangu?![]()
Na kweli umetutundikia daruga maana tangu 2020 daah. I miss them Good old days.Aunt abiria, huku nilishaaga kitambo...hii itakuwa comment yangu ya kwanza tangu nilipong'atuka rasmi kwenye huu uzi
Hebu acha tu niendelee kutundika daluga![]()
coca wee ni mwehu ujue!!! Imenibidi nirejee tena niangalie vizuriMbna hapo kwa zipu km pametuna? Afu kuelekea upande wa bible, au macho yangu?![]()



!