Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😬😬😬 sikumbuki mala ya mwisho nimeugua laini.. zaidi ya stress na misongo ya mawazo inayochoshaga mwili, nikisema naumwa ujue mtu namla fix ili stoy ziwe fupi au sitaki kufanya kitu au na kwepa kitu, namshukuru Mungu .. ukimwi wenyewe nilipimwa mwaka jana kwa mbinde kweli kweli ila body checkup ya mwili sana nakumbuka nilifanya hivi karibu katika test zote walikuta sina mafuta mwili.. ila kila kitu kilikuwa okay
Hongera sana, hata hivyo Mungu ni mwema Kwa kweli.

Binafsi ni mwoga sana wa Sindano, hivyo huwa naomba sana Mungu nisiugue hadi kunifanya nichomwe sindano, that's why najitahidi kulinda afya
 
Ukweli namshukuru sana Mungu. Kuugua uzalishaji mali hupungua na ni hasara pia. Ila Mungu ni mwema siku zote hutuepusha na majaali, magonjwa na mengineyo
Mimi niliona wakati nilipopata ajali iliyonifanya nilale kitandani kujiuguza almost siku 34.

Yaani kazi na michongo yote ya hela inakupita na unalazimika kuletewa kidogo kinachotafutwa na vijana ambao wengi wanakuwa sio waaminifu.
 
Mimi niliona wakati nilipopata ajali iliyonifanya nilale kitandani kujiuguza almost siku 34.

Yaani kazi na michongo yote ya hela inakupita na unalazimika kuletewa kidogo kinachotafutwa na vijana ambao wengi wanakuwa sio waaminifu.
Pole sana Grahams .. Mungu mwema, alitunza uhai wako.

Tuzidi kumuomba Mungu na sie wenyewe kujijari sana kwa afya zetu
 
Back
Top Bottom