Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,859
Mnadhani wanaume hatufulii,Hilo ndy tatizo lenu kubwa wanawake..Na Kwa sababu ya ego wanaume tunakufa mapema na Tai zetu shingoni tukijifanya hakuna mawimbi yanayotupigaWee mwanaume ujue!!
Mnadhani wanaume hatufulii,Hilo ndy tatizo lenu kubwa wanawake..Na Kwa sababu ya ego wanaume tunakufa mapema na Tai zetu shingoni tukijifanya hakuna mawimbi yanayotupigaWee mwanaume ujue!!
..umekuwa km 9.8ms squared siku hizi,unabadili jina kimyakimya 😀Haha muandiko upi sasa satoh![]()
Hahaha.....kwani huwa unachukulia serious humu? Unaenda na beat LA siku husika tyuuh.
Cc ake, nije nkusaidie kukanyaga mafuta?




No way Komaa kiume!!Mnadhani wanaume hatufulii,Hilo ndy tatizo lenu kubwa wanawake..Na Kwa sababu ya ego wanaume tunakufa mapema na Tai zetu shingoni tukijifanya hakuna mawimbi yanayotupiga
Hahaa mbona nilivyobadili tu kuna watu walijua sema ni wewe ndiyo ulipotea uzini..umekuwa km 9.8ms squared siku hizi,unabadili jina kimyakimya![]()


Mnadhani wanaume hatufulii,Hilo ndy tatizo lenu kubwa wanawake..Na Kwa sababu ya ego wanaume tunakufa mapema na Tai zetu shingoni tukijifanya hakuna mawimbi yanayotupiga







khaaaaahSina hamu na mideko... analike post za 2019 huko doh!!
Koppo mbona zipo fresh sana, ila huawei ni zaidi yakeTunaotumia oppo tunadharaulika sn
Au nasema uongo Depal ?
Sina hamu na mideko... analike post za 2019 huko doh!!





akifka 2020 naleft, maana atafufua makaburi yangu woiiiiiihLocation Wapi?Karibu![]()
Wee jamani nilikupigia kuna siku hukupokeaKumbe upo eeh!! wewe hadi utumiwe miamala ndo utarespond naona😏
YaaanSina hamu na mideko... analike post za 2019 huko doh!!