Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Vitu fulani hivi boss
Vitu fulani hivi boss
Miye tenaaaaa; nitawaitaYan naomba kabla hujapost tuite, hakikisha tumeitikia
Yan nishapata picha kalivyo kazuri![]()
Hizi ndizo rangi nizipendazo aise.Wee apo rangi ya maziwa, afu tafuta koti rangi ya pink utaniambia hapa.![]()
Mbavu zangu jamani
Huyu Abiud Misholi uko alipo atakuwa anajing’ata sana







kwa kweli uwiiiiih.Nkamu nkamuMkuu huyu ndiye Heaven Sent ?
Chagua hapo sweetYa kitambaa tayari ninayo, sasa sijui utawahi nini 🤣
Wahi kitenge
Ilo shati lake ni zuriVitu fulani hivi bossView attachment 2156473
Na hapa sweetYa kitambaa tayari ninayo, sasa sijui utawahi nini 🤣
Wahi kitenge
Ya kitambaa tayari ninayo, sasa sijui utawahi nini
Wahi kitenge





mie Wax ipo nlitaka kumpelekea mama, ila bas nashona hicho kigauni, kinachobaki nashona vibukta tyuuh.Yuko Tz au kenya?Chagua hapo sweet
View attachment 2156477
Nkamu nkamu
Eti lichata 🤣🤣🤣Ilo shati lake ni zuri
Frank Knows anayo
Lilinipendeza hatarii, ila Frank yake kifuani wamebandika lichata la mng’ao . Pameboa
Ipi tena nkamu?Nkamu nipo hapa nasubiri hiyo selfie
Rangi nzuri mnooo, na zinavutiaa sana.Hizi ndizo rangi nizipendazo aise.
Kwenye harusi yangu miaka ya mbeleni huko basi hizi rangi ndizo zitatawala zaidi
View attachment 2156472





Hutaki.. Nairobi na Arusha si majirani 😀😀😀Yuko Tz au kenya?
Maana na wewe 😂
Khaaaamie Wax ipo nlitaka kumpelekea mama, ila bas nashona hicho kigauni, kinachobaki nashona vibukta tyuuh.
Ilo shati lake ni zuri
Frank Knows anayo
Lilinipendeza hatarii, ila Frank yake kifuani wamebandika lichata la mng’ao . Pameboa





