cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Hata cc tukiomba wazi hapa ni tatizo,Mimi ninaomba wazi hapa
Mnateremkia mgongo wangu
Tuna slide na mgongo wako yaan,



Hata cc tukiomba wazi hapa ni tatizo,Mimi ninaomba wazi hapa
Mnateremkia mgongo wangu



Vipi hapo Mbinga hawajambo?usingizi ulinibana cc ake.
Wee bora utulie ivoivo shos!! Usiseme sijakwambia![]()






unaniogopesha sasa wee jomonee, uwiiiiiihWazima karibu mahindi ya kuchoma, na mdojolela.Vipi hapo Mbinga hawajambo?




Ameeeen!!!You are who You are yesterday
Today and forever more
What You say is what You do
You never fail, You never change
You are faithful till the end
Faithful God, I worship you
I worship you
Too faithful by Moses Bliss
Kikanda kipo?Wazima karibu mahindi ya kuchoma, na mdojolela.![]()
Hata cc tukiomba wazi hapa ni tatizo,
Tuna slide na mgongo wako yaan,![]()








Kabisaa iwe hivyo yaan, nakuaminia mbna.
Kumbe nawaokoa wengi
Nimejitoa muhanga![]()


Fyneee dea, how'z u?
Vipi how are you feeling today ?
Leo sina mood na picha dear ..
niliwaambia waende popote wanapotaka wasi nisumbue sumbue, na hawawezi nifanya kitu. Nikawaambie waache upuuzi wa kutishana kisa elfu kumi 😀😀 nikawaambi wakaangalie history ya miamala yangu ya m-pesa kama mie wa kukimbia elfu 10.. ukweli nilikuwa vibaya kimoyo moyo nikasema buku ten inanitoa utu alafu vinapiga videmu tu 😀😀😀😀 songesha napo kukawa na deni sema wao waungwanaHahaha, ukawaambiaje chief?
Nipo okFyneee dea, how'z u?
Nakubaliii dea,Leo sina mood na picha dear ..
Nimeamka hovyo , nikiweka nitakutag labda .



Ooh thank youNakubaliii dea,![]()
