Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

#Tanzanite
#Oceanview
20220319_093025.jpg
20220319_093045.jpg
 
Glory be to God ‘madam ooh

Ulcers zinatesa watu, kuna mdada huku alikuwa mpaka analia. Na ni mdada mkubwa.

Zamani nilikuwa naumwa tumbo vbaya mno, nikichelewa kula lunch nikala zaidi ya saa 6 cha moto nakipata.
Kwenda hosp nikaambiwa nina H. Pylori
Dr. Akanambia zingatia dawa ‘zilikuwa ni omeprazole… zingatia haswa usije pata ulcers kabisa.
Nikawa msikivu, mpaka sasa sijakutana na ile hali tena.
Nikikumbuka yale maumivu alooh tena tu ni bacteria, sitamani hata kupata picha ya mgonjwa kabisa.
Poleeeh dea.
 
Mtu yeyote kusema amebatizwa
Yampasa kuchunguza sana maana
Neno batizo ni neno la lugha ya kiyunani
Maana yake kuzamishwa kabisa
Ndani ya maji
Ishara ya kufa na kufufuka

Biblia nayo iko wazi sana
Ikisema Yohana Mbatizaji
Alibatizwa mtoni Yordani
Maana ndiko kwenye maji mengi

Basi nendeni kote mkahubiri habari njema mmh
Habari ya wokovu tulopewa
Na kila aaminiye abatizwe
Tena azamishwe ndani ya maji


Neno linasema aaminiye
Abatizwe ndani ya maji
Vipi kwa watoto itakuwaje tukitaka kuwabatiza?

Neno liko wazi
Aaminiye
Na mtoto hawezi kuamini
Wala hawezi kuzamishwa majini


Basi nendeni kote mkahubiri habari njema
Mmh
Habari ya wokovu tulopewa
Na kila aaminiye abatizwe
Tena azamishwe ndani maji


Ambassadors of Christ Choir_Ubatizo


Happy sabbath Day to all SDA members
Ameeeeeeeeeen!!!!
 
Back
Top Bottom