


Umemalizana na Saint Anne mkuu?
Brother umemtag Kabsaa 😁. Anne hana kitu kinaitwa mwisho, labda nimpe social media account yangu ndio atatuliaUmemalizana na Saint Anne mkuu?
Ninatumia jf tu na watsapBrother umemtag Kabsaa. Anne hana kiti kinaitwa mwisho, labda nimpe social media account yangu ndio atatulia
Mwana hip hop baba kendi
🤣🤣 vita ni vita, tutaelewana PM usijaliNinatumia jf tu na watsap
Hivi hii picha unaninyanyasa nayo tangu wiki iliyopitaHivi Anna unajua hivi sasa ni saa 1:40 am . Niachie kwa muda nilaze hiki kichwa maana kesho nayo siku

Eyce usinitanie bwanavita ni vita, tutaelewana PM usijali
Ingia PMHivi hii picha unaninyanyasa nayo tangu wiki iliyopita![]()
Unanipa picha au ni hadithi tu?Ingia PM
Dah!Ingia PM
Kila Mbuzi atakula Kwa urefu wa kamba yakeDah!
Nami nilikuwa hapa nategeshea nisafirie mgongo wa Anna. Nilifikiri utaselfika hapa hapa. Sasa PM kwa Anna tena dah!













Tuendelee kukumbushana Mkuu, Mimi pia ni mzito sana kwenda Hospitali hadi niumwe serious ambapo Kwa Mwaka labda mara moja au mbili malaria ikinipiga sana.Ujumbe wa muhimu sana kamanda. Annual physical exam literally saved my life. Something terrible was brewing up and I was lucky that I caught it early through a routine physical exam.
Sisi (hasa wanaume) tuko wagumu sana kwenda hospitali mpaka tuumwe. Wakati mwingine inakuwa tayari tumeshachelewa. Ni vizuri sana kuwa na tabia ya kucheki afya kila mwaka. Na kwa wahenga wenzangu ambao wako at least above 40, hakikisha unajua namba za presha yako pamoja na sukari. Matatizo haya yanaweza kuzuilika kwa kubadili mfumo wa maisha tu kabla hujaingia kwenye kutumia madawa makali ya hospitalini ambayo ni ya kudumu na yenye side effects kibao. Na kila mwaka angalia ini lako, figo, moyo, pancreas, prostate, mapafu na viungo vingine vikoje.....
Aisee unaweza kugonga 76 na ukawa bado unapata ile kitu roho inapenda (sita kwa sita) na kwingineko.... Mungu ni mwema
View attachment 2155648