Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

God honors marriage ; ndiyo maana hata alifananisha uhusiano wa mke na mume; na uhusiano wa Kristo na Kanisa. Changamoto nyingi sana zinakuja kwa sababu ya kuvunja misingi ya familia. Na shetani since anajua jinsi Mungu anavyoiheshimu ndoa; na zaidi ndoa ni kusudi la Mungu; hatoacha wanandoa waishi kwa amani; changamoto kama zote. Ndoa/familia ikiwa utulivu; utaona hata kwenye nyanja nyingine kuna utulivu pia; ndoa/familia ikivunjika; madhara yake tunayaona. Tunaishia kuishi kinyume na mpango na kusudi la Mungu; na kilicho nje na mpango wa Mungu; aisee utaona jua litakavyowaka
Hongereni mliooa na kuolewa maana ndoa ni head ache, few nice stories ila kwa wengi ni matatizo tu
 
Kawaida yake huyu brother.


Amenisaidiaga sana kipindi napitia magumu..hata kusema nashindwa.
Wakati wengine uliodhani ni ndugu zako wanakutupa..Mungu anainua watu wa kukusaidia.

Mungu amuweke sana huyu kaka.
Huwa namuombea mno..wema hauozi.
Ameen ameen!abarikiwee

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom