Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Thank youZaburi 23
Hutakaa uugue ulcers
Mkuu, ulikaa ukabuni uzi bora kabisa. Inabidi turudi tena huko Mtae tubuni kauzi kengineNitaisindikiza na matarumbeta


Glory be to God ‘madam oohThank you
Nimepona sasa , ni miaka kumi imepita toka nilvyoumwa ulcers .
Mbona kama nimekumiss
Glory be to God ‘madam ooh
Ulcers zinatesa watu, kuna mdada huku alikuwa mpaka analia. Na ni mdada mkubwa.
Zamani nilikuwa naumwa tumbo vbaya mno, nikichelewa kula lunch nikala zaidi ya saa 6 cha moto nakipata.
Kwenda hosp nikaambiwa nina H. Pylori
Dr. Akanambia zingatia dawa ‘zilikuwa ni omeprazole… zingatia haswa usije pata ulcers kabisa.
Nikawa msikivu, mpaka sasa sijakutana na ile hali tena.
Nikikumbuka yale maumivu alooh tena tu ni bacteria, sitamani hata kupata picha ya mgonjwa kabisa.
😬😬😬 sikumbuki mala ya mwisho nimeugua laini.. zaidi ya stress na misongo ya mawazo inayochoshaga mwili, nikisema naumwa ujue mtu namla fix ili stoy ziwe fupi au sitaki kufanya kitu au na kwepa kitu, namshukuru Mungu .. ukimwi wenyewe nilipimwa mwaka jana kwa mbinde kweli kweli ila body checkup ya mwili sana nakumbuka nilifanya hivi karibu katika test zote walikuta sina mafuta mwili.. ila kila kitu kilikuwa okayView attachment 2155583
Ni jukumu letu sote kuendelea kukumbushana umuhimu wa kuwa na afya njema Kwa watu wa Rika lote. Though msisitizo zaidi uendelee kutolewa Kwa vijana wanaochipukia.
Unapokuwa unaugua mara kwa mara huathiri kipato chako pamoja na kuathiri shughuli zako za maendeleo Kwa ujumla, kwani itakulazimu kuhudhuria kazini mara chache wakati muda mwingi ukitumia hospitali kujiuguza.
Sio HIV tu bali hata maradhi mengine pia yachukuliwe Kwa uzito unaostahili hasa Pressure, Kisukari, Moyo, Saratani n.k hasa kwa sisi Wazee🙊
God is good all the time 🙏🙏🙏🙏
na mie nime kumiss sweetheart 😎😎Mbona kama nimekumiss
Miss u more sweetheart 😎na mie nime kumiss sweetheart 😎😎
🥰🥰🥰😘😘🥰🥰🥰Miss u more sweetheart 😎
Au mama Yake YesuUnataka kusemaje yaani![]()

Niliweka atiThubutuu
Sio mlokole huyu![]()
Ningekuwa mfwatiliaji wa akina Diamond huko na alikiba sijui konde vannyDada uchawa na upapasi unauweza uko vzrmweehh
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ungesema brother 😁😁😁Dah!
Nami nilikuwa hapa nategeshea nisafirie mgongo wa Anna. Nilifikiri utaselfika hapa hapa. Sasa PM kwa Anna tena dah!
Eyce unajisikiaje unavyoninyanyasa?Ungesema brother![]()