Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Amen!! Mungu ni mwema mie na familia yangu sote hatujambo! Badae l nina vocha zako!Amen boss ledi wetu jf nzima na Tz Kwa ujumla.
Tunaamini Mungu amekuamsha salama
Amen!! Mungu ni mwema mie na familia yangu sote hatujambo! Badae l nina vocha zako!Amen boss ledi wetu jf nzima na Tz Kwa ujumla.
Tunaamini Mungu amekuamsha salama
Heshima yako Kaka👋👋😀😀😀😀 isivyowezekana samaki kuishi bila maji ndivyo ilivyo
Naona umeamua kufanya na taarabu..unafumgulia redio upande wa pili tusikie vijembe😅😅..SawaDepal sema mama nikuletee nini View attachment 2156279
😀😀😀😀😀😀 history ndefu hayafi dk moja..Weeeee..Nyie watu mnatufanya mafala sn sisiView attachment 2156257
Na Mimi nataka vocha madamAmen!! Mungu ni mwema mie na familia yangu sote hatujambo! Badae l nina vocha zako!
😀😀😀 mkuu asubuhi tumekuja chukua vitumbua na maandazi ya chaiNaona umeamua kufanya na taarabu..unafumgulia redio upande wa pili tusikie vijembe😅😅..Sawa
Depal unaitwa huku,mahaba niue
Kumbe upo eeh!! wewe hadi utumiwe miamala ndo utarespond naona😏Next move naona itakuwa oppo… ili gereza kuna muda litamu, kuna muda nikishindwa kufanya ka kitu naikumbuka my tekno 😂
Oppo ya huyu dada angu hapa Waseme ni moto. Kumoyo nilizielewa zile picha tulipiga orlando 😻
Mkuu acha kuniangusha acha kuniangusha 😬😬😬😬😬😬.. unatakiwa uzimwage vocha humu sio kuchukua vochaNa Mimi nataka vocha madam
Jamani jamaniAmen!! Mungu ni mwema mie na familia yangu sote hatujambo! Badae l nina vocha zako!

















Mkuu hata mti kuna muda unapitia kipindi kigumu ktk maisha yake.. ndy maana unapukutisha majaniMkuu acha kuniangusha acha kuniangusha 😬😬😬😬😬😬.. unatakiwa uzimwage vocha humu sio kuchukua vocha
Jamaa wakuda nilikopa elfu 10,000 nilijuta.. utapigiwa simu utatumiwa sms.. utafikiri wanakudaia millions of money.. hadi kuna siku niliwabadirikiaa ndio
Wee mwanaume hapana!!!Na Mimi nataka vocha madam
Mie natuma kwa ke tu ! Labda usubirie kugombania za mwanaume mwenzio Akitupia humu!Mkuu hata mti kuna muda unapitia kipindi kigumu ktk maisha yake.. ndy maana unapukutisha majani
Nakupenda mnooooh.






Mornieee


