Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,844
- 57,500
Nilikuwa sijaelewa Ujumbe, kumbe unawahusu Vijana wa Leo.
Sisi enzi zetu ilikuwa unamwambia Mama Bhoke ajitayarishe tu wewe ni kulenga shabaha basi ๐๐๐๐๐๐๐
Nilikuwa sijaelewa Ujumbe, kumbe unawahusu Vijana wa Leo.
Kwa timu ipi mliyonayo ya kutupiga sisi??Yule profesa ndio kamfundisha ukocha klopp alimuokota bar,,Msimu ujao nyie livakuku genge la wahuni tutawapiga nje ndani
Hata yeye anatambua wazi kuwa boss Lady ni mbarikiwa na hatuna boss lady mwingine ila wewe.
Kawaida yake huyu.Shouuzzzz leo umetokolezeeaa ki headmistress uwiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app



Kweli unajua kusifia, Ungekuwa Mwanaume Mabinti zetu wangeshindwa kuchomoa mistari yako ๐๐Kawaida yake huyu.
Sijawahi kumuona hajatokelezea.
Mwili wa kiboss lady unakubali kila nguo,,,hapa bado hajatupia zile suruali zake official
Mungu alimuumba asubuhi mapema kabisa baada ya chai nzito.
๐๐๐ haya mambo ya vijana wazuri kizazi cha leo kama kina Saint Anne ndio watakuna na hivyo vi mbwanga..Nilikuwa sijaelewa Ujumbe, kumbe unawahusu Vijana wa Leo.
Sisi enzi zetu ilikuwa unamwambia Mama Bhoke ajitayarishe tu wewe ni kulenga shabaha basi ๐๐๐๐๐๐๐
Sambaza upendo...
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑ ila nyie ๐คฃ!Kweli unajua kusifia, Ungekuwa Mwanaume Mabinti zetu wangeshindwa kuchomoa mistari yako ๐๐
Ila the lady is so hot ๐ฅ, isingekuwa Uzee huu ningefunga safari kwenda kumsifia live ๐๐๐๐๐
Sifa ninazotoa ni amini na kweliKweli unajua kusifia, Ungekuwa Mwanaume Mabinti zetu wangeshindwa kuchomoa mistari yako
Ila the lady is so hot, isingekuwa Uzee huu ningefunga safari kwenda kumsifia live
![]()
Anne unajua Nimecheka mpaka nahisi kukauka kwa kicheko๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑKawaida yake huyu.
Sijawahi kumuona hajatokelezea.
Mwili wa kiboss lady unakubali kila nguo,,,hapa bado hajatupia zile suruali zake official
Mungu alimuumba asubuhi mapema kabisa baada ya chai nzito.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃilaaa na Saint Anne leo mmejua kuniua mbavu ๐ฅฑ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐ฅฑ!!wee ndyoo bhana. Headmistress afu huniambii kwann? Je km nilkua mwanafunzi wako? Hahahah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hahaaaa nyie watu uwiiii๐ฅฑ๐คฃ๐๐คฃ๐คฃ๐ฅฑ๐ฅฑmie ndo nashindwa kumuelezea kabisaaa, nabaki kukaa kmya, maan sijui ntaanzia na kuishia wapi, vipi shouzzzzzz mie nadanganya? mahondaw
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
EwaaaaaaAnne unajua Nimecheka mpaka nahisi kukauka kwa kicheko๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑ
Huyo sio sana, Willow kapo mno aaah, hata Jaden nae sema ananiudhi anavojiwekaga ka zombie, ananikeraa mnoo.Trey je? Sema huyu kapoa kama uji wa mtotoila mcute
Yup, ya JS niliiona Ytubeโฆ
Macho yako good


na mie masikio yangu yako poaaah. Babu Leo amekamatwa.
Anyways, nitatumia Jamii Forum Money kukutumia![]()




nitolee janja janja yako hapaaah, hebu fanya namna uko mie nipate zawadi angu. ExactlySifa zake hazina mfano.
Our very own boss lady![]()



Nilikuwa sijaelewa Ujumbe, kumbe unawahusu Vijana wa Leo.
Sisi enzi zetu ilikuwa unamwambia Mama Bhoke ajitayarishe tu wewe ni kulenga shabaha basi![]()







Kwa timu ipi mliyonayo ya kutupiga sisi??
Hadi wolves wanawatandika.
Mbona tu kukalia ile nafasi ya 2 hamuwezi
Na tuliwalisha bao Tano kwa nunge.
Nyie hata mkicheza na Dar kwanza,Dar kwanza anashinda.
Huyo profesa wenu wa gengeni ameshachanganyikiwa haelewi hata anafanya nini.
Mashabiki nao wamepoteana mara De Gea aondoke mara Ronaldo Mzee,mara kapteni mlevi yaani ni full burudani.




ila mashabiki wa man u khaaah..