Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Abee mdogo angu
Abee mdogo angu
Utakuwa umechukua demu wa mod wewe siyo bure Kwa hizo banKuna mtu anazingua af anakuletea ushanta


Acha masihara basiSehemu nzuri eeh.. mahala pa kupumzikiabaada ya heka heka.. jana peke yake nimetembea 726km.. hadi mda huu naingia kujificha.. ona jirani zangu haoView attachment 2144110


Dah..nimekuta manyoya Tu,watu wanasifia shingoNilikisubiri sana dokta umeniangusha!
Sikuoni bwana 😒😒😒..On my way T.O.D😂😂
Heshima yako dada yanguAbee mdogo angu
Karma mamboAcha masihara basi![]()
Hahahaaa.....Dah..nimekuta manyoya Tu,watu wanasifia shingo
Nimeipokea mdogo anguHeshima yako dada yangu
Nyuma ya kibao Cha shule😂😂Sikuoni bwana 😒😒😒..
Vizuri sana kama ni shwari mkuuShwari![]()
Akhsante sana kwa kuipokeaNimeipokea mdogo angu
weeeeeeee usinifanyie hivyo nimejihimu kuhesabu namba watoto.. Unajua nimekuwa mwalimu wa nidhamu hapaaa.. 😎😎😎Nyuma ya kibao Cha shule😂😂
Mimi voda mdogo anguAkhsante sana kwa kuipokea
Unatumia vocha ya mtandao gani?
majukumu shem ya hapa na paleDoh unapotea sana shem!!
Mimi ndiyo mwalimu wa zamu😂😂weeeeeeee usinifanyie hivyo nimejihimu kuhesabu namba watoto.. Unajua nimekuwa mwalimu wa nidhamu hapaaa.. 😎😎😎