Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimesema Mimi huyu dada siyo tu kwamba ni boss lady,Bali ni mtu na nusu na kipande pia[emoji91][emoji3590]

Nani mwingine anafikiriaga kuwawezesha watu lunch??
Huyu ni special woman duniani hapa.


Yaani hizi vocha tu unaweka zinatubariki mno,
Mimi hata nisipopata nafurahi sana tu Kwa waliopata Kwa sababu naijua furaha ya kupata hizi vocha.
Mtu anaweza akaona kama ni kitu kidogo lakini kiuhalisia huwa inaketa kavibe Fulani kazuri kubahatika vocha ya humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie ndo nashindwa kumuelezea kabisaaa, nabaki kukaa kmya, maan sijui ntaanzia na kuishia wapi, vipi shouzzzzzz mie nadanganya? mahondaw

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2144329
Naona traffic Police wamenisimamisha hapa, wanasema tairi za tela langu zimeisha [emoji3][emoji23]

Karma , Heaven Sent , financial services , Saint Anne , Bujibuji Simba Nyanaume fanyeni mpango mnunue Pickups za kubebea mazao yenu shambani lakini sio Ng'ombe.

Kwetu kule Ng'ombe ni kwaajili ya kula nyama, maziwa na kuolea tu sio kubebea mizigo [emoji119][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nipo hapa nyuma yako na huyu mbuzi; nakuja kukuokoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya piganeni niwaone, mie nawazoom kwa mbali.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Yaani nafungua tu watsap kuna kaboya😂 kananipokea na hizo taarifa.

Yaani man u bwana ,wamefurahi utadhani walishinda wao Jana kumbe wamechakazwa juzi na kipigo kikali timu ishavurugika hakuna Cha cr7 sijui pogba
 
Sipunguzi

Afu ilo cartoon mbona baya [emoji14][emoji14]
Ipi hiyo? Ila huyo Willow ndo mzuri? Kiufupi umeishiwa avatar, omba msaada kwangu, acha ubishi wako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kheeeeh cartoon wangu huyu ni mzureee, na ndo main avatar kwagu, nitaweka zote mwisho ni hii hapa. Weuweeeeeeeeeh

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Yaani nafungua tu watsap kuna kaboya[emoji23] kananipokea na hizo taarifa.

Yaani man u bwana ,wamefurahi utadhani walishinda wao Jana kumbe wamechakazwa juzi na kipigo kikali timu ishavurugika hakuna Cha cr7 sijui pogba

View attachment 2144336
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
cocastic niache mwenzio uwiiiii![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🥱🥱🥱🥱 sina mbavu hukuu khakhaaaaaa!!!! Nacheka mpaka wananishangaa hap
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ndyoo bhana. Headmistress afu huniambii kwann? Je km nilkua mwanafunzi wako? Hahahah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20220309_092557.jpg
Screenshot_20220308_213257.jpg
 
Back
Top Bottom