Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Shem lake reymage njoo huku Boss Lady keshatangaza vitaSoon msukuma... mwite na reymage Satoh Hirosh wakuje saivi!






Zama PM…Ndiyo namhala. Nikijaza friji basi nasahau...na products zao sio mbaya kwa level ya kati.
Unageuza lini? Kuna kitu nataka kukuomba aisee![]()
Sio sawa. Namba 1 ni namba 1 sababu Kuna namba 2. Ukishinda usimsahau aliyekukimbiza.Kuna muda mtu unapendwa hadi unatamani utangaze
Nguruwepori popote mlipo Aloo Huku mambo ni moto nyie
.....
Yaani sijui hata najiteteaje
Ngoja Heaven Sent atakuja kunisaidia
Stay tuned...wewe mtandao gani??Boss leeeeeediiiiiii![]()
hamna nazingua tu.. mtu ambe sijamuandika hapo maana yake simkubali wala nini 😎😎😎😎Haleluya
![]()
AirtelStay tuned...wewe mtandao gani??
Namba Moja kivipi mkuu?Sio sawa. Namba 1 ni namba 1 sababu Kuna namba 2. Ukishinda usimsahau aliyekukimbiza.
Nasisi wasafisha njia tunastahili pongezi zetu nyingi tu Mtakatifu.
Yeah! Akikosa atalalamika sana yaani...Nasubiria akuje nitume zilizokwanguliwa mtandao mmoja baada ya mwingine!

Bila Kumsahau ElitwegeKawe Alumni,Magonjwa Mtambuka na Jumbe Brown wote wapo kamati ya chakula![]()


Sawa. NitakujaZama PM…
Watu na mapenzi yenu bhana, hongereni sanaaKuna muda mtu unapendwa hadi unatamani utangaze
Nguruwepori popote mlipo Aloo Huku mambo ni moto nyie
.....
Yaani sijui hata najiteteaje
Ngoja Heaven Sent atakuja kunisaidia




Ndio kwanza kila siku namdis na pombe zake





pombe huyo haachi hata. Ndiyo unakula peke yako eh


Yale maguruwe pori yatakuwa yanaona wivu tu ninavyokula Bata hapa duniani(natania)







leo umechachuka na kushanduka shida nn kwani? UwiiiiihDah!Bila Kumsahau Elitwege![]()




Yeah! Akikosa atalalamika sana yaani...
Sijui bado anapika?![]()
Dada wewe si upo mjini lakini jamani 😒😒Ndiyo unakula peke yako eh![]()