Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna muda mtu unapendwa Hadi unajiuliza hivi kwanini muda wote ulipoteza na manguruwepori huko wakati Kuna watu wanajua kupenda jamani.
Aisee huyo nguruwe pori wako habari imfikie.



Nakumiss sana na ninakuwaza dada..
Nisamehe,nilipita for some hours j2..nikawaza nikutafute lakini nikakosa confidence .View attachment 2143391View attachment 2143393

Hayo "manguruwepori" hayo yalishamaliza kazi yaliyotumwa kuifanya - kukuandaa na kukuweka tayari. Usingekuwa hivyo ulivyo leo bila ya hayo manguruwe pori. Ungewezaje kuujua upendo wa kweli bila kupitia kwa hayo manguruwe pori? Almasi yawezaje kuwa yenye thamani, imara na yenye kung'ara sana bila kupita katika moto mkali na mgandamizo wa kutisha?
 
Dogoo nakumis sanaaa!!!!mnooooo!!!uko busy nawadaiz!!
Eehh!!!alidhani sitapendwa tena!!!!sasa napendwa mpk naogopa atii!!afu nanenepaa mnooo!!!!
Oooh shem!

Msamehe tu na kumwachilia huyo Msukuma boya. Unafikiri hata huko aliko ana amani basi? Si ajabu anapambana na "manguruwe pori" mpaka anaomba poo. Kuna wenza wa kweli ukiwapoteza maishani basi ndo imekula kwako mazima. Yanabakia majuto tu...Ilishanitokea shem na inauma sana!

Wewe ponda raha na Nshomile wako na senene zake za Italy. Maisha menyewe mafupi ati!
 
20220308_160000.jpg
 
Manguruwepori hayo yalishamaliza kazi yaliyotumwa kuifanya - kukuandaa na kukuweka tayari. Usingekuwa hivyo ulivyo leo bila ya hayo manguruwe pori. Ungewezaje kuujua upendo wa kweli bila kupitia kwa hayo manguruwe pori? Almasi yawezaje kuwa yenye thamani, imara na yenye kung'ara sana bila kupita katika moto mkali na mgandamizo wa kutisha?
Yah ni kweli mkuu
Sometimes mtu anapita sehemu ili kuandaliwa kupokea yaliyo mema.

Wengi huwa hawajui,,,kumbe Mungu anaandaa mtu aweze kuwa bora kabla hajapokea kilicho bora,maana ukipokea kilicho bora mapema kabla hujajiandaa nankugundua kuwa ni bora pengine usingekithamini kama unavyokithamini ulipopokea Kwa wakati sahihi.
 
Hayo "manguruwepori" hayo yalishamaliza kazi yaliyotumwa kuifanya - kukuandaa na kukuweka tayari. Usingekuwa hivyo ulivyo leo bila ya hayo manguruwe pori. Ungewezaje kuujua upendo wa kweli bila kupitia kwa hayo manguruwe pori? Almasi yawezaje kuwa yenye thamani, imara na yenye kung'ara sana bila kupita katika moto mkali na mgandamizo wa kutisha?
Uko sahihi kabisaa shemeji yangu!!kila jaribu lina funzo kuubwa sana!ndo maana ktk maisha yangu sijawahi juta ktk mahusiano!naimani shilling ina pande mbili!
 
Yah ni kweli mkuu
Sometimes mtu anapita sehemu ili kuandaliwa kupokea yaliyo mema.

Wengi huwa hawajui,,,kumbe Mungu anaandaa mtu aweze kuwa bora kabla hajapokea kilicho bora,maana ukipokea kilicho bora mapema kabla hujajiandaa nankugundua kuwa ni bora pengine usingekithamini kama unavyokithamini ulipopokea Kwa wakati sahihi.
Naam mkuu! Kila mtu anayepita maishani mwetu ana kazi yake. Ukilitambua hili hutamng'ang'ania mtu abakie maishani mwako ilhali pengine kazi aliyotumwa kuitimiza keshaimaliza. Yote ni kumshukuru Mungu tu na kusonga mbele.

"Nguruwepori" hoyeee !!!
 
Oooh shem!

Msamehe tu na kumwachilia huyo Msukuma boya. Unafikiri hata huko aliko ana amani basi? Si ajabu anapambana na "manguruwe pori" mpaka anaomba poo. Kuna wenza wa kweli ukiwapoteza maishani basi ndo imekula kwako mazima. Yanabakia majuto tu...Ilishanitokea shem na inauma sana!

Wewe ponda raha na Nshomile wako na senene zake za Italy. Maisha menyewe mafupi ati!
Shem wangu wa ukweli ahsante sana na ubarikiwe mnoo kwa maneno mazuri!
Ubarikiwe sana!nshasamehe nshasahau kwa sasa nakula kipupwee!!!maisha yanaendelea!!!yeye anahaha hukoo
 
Back
Top Bottom