reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Kupendwa raha watamani kurudisha siku nyuma ila unabaki kusema ahsante Mungu maana kila jaribu lina funzo ndani yake na hakuna mtu mbaya wa moja kwa mojaKuna muda mtu unapendwa Hadi unajiuliza hivi kwanini muda wote ulipoteza na manguruwepori huko wakati Kuna watu wanajua kupenda jamani.
Aisee huyo nguruwe pori wako habari imfikie.
Nakumiss sana na ninakuwaza dada..
Nisamehe,nilipita for some hours j2..nikawaza nikutafute lakini nikakosa confidence .View attachment 2143391View attachment 2143393
Una tabia mbayaa mweehh!yaani wewe jamani nakununia Mimi!yaani konfidensi iyo kwiooo!!au unaogopa nakula watu





!!!!













