Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Happy women's.. Kasie
Kuna zawadi yako murua jirani yangu...

Happy women's... Karma dada wangu wa ukweliii

Happy women's.... Heaven Sent dada wa ukwelii

Happy women's.... Lizzy mtu mwenye roho isiyo na hila.. roho nyeupe kama sufu..

... nyingi sana ka superwoman special yaani.. happy women's.. Saint Anne [emoji847][emoji847][emoji847][emoji3060][emoji3060][emoji3060]

..... mnazawadi zenu special yani.. [emoji322][emoji322][emoji322]
Senkyuuu hizo zawadi tunapata lini [emoji848][emoji848]
 
Wanaume leo tumeitwa nguruwepori - jina baya kabisa na lenye kudhalilisha sana dah! Wanaume tunakwama wapi?

Njooni tukae kikao tujadili hili suala aisee maana siyo poa! [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaaah, kimeumanaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji2][emoji2][emoji2]tulikubaliana hakuna kua singo kwenye kikao cha Leo mkwee!komaa nao tu hvyo hvyoo!!!
Au uanze kuhonga kama maloveee!!![emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Nguruwe poriii [emoji108][emoji108][emoji108][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alikufanyaga Nini Hilo guruwe jamani!
Yaani dada mpole kama wewe Kuna guruwe la pori lilikuletea utopolo???



...
Ngoja HS aje atanitetea[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Dah!

Kuna jamaa alianzisha uzi akiwaomba Mods wampige ban ya maisha huyu mwamba na akatoa ultimatum kuwa kama hawatafanya hivyo basi yeye ataondoka JF jumla. Comments za wadau sasa zilinivunja mbavu. Haukukaa sana uzi mods wakaufuta [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Aisee, huyo mdau ana special seat mbinguni 🤣🤣
 
Kabisaa kiongozi.
Kila kitu hutokea Kwa sababu aisee.

Wasitutenge manguruwe pori jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawasimanga nguruwe pori wakati hata Mimi nahisi nilikuwa kundi la nguruwe pori[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sina mbavu wallah.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kabisa
Imeisha Kwa mbili hiyo,,bila Baki


Guruwe lolote lipambane na hali yake huko duniani kwenye makurubembe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yakuache kabisa dada mzuri aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom