Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,404
Unajua hilo neno nimelidakia tu juujuu nikasema ngoja na Mimi niliandikepo maana limenichekeshaleo umechachuka na kushanduka shida nn kwani? Uwiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Senkyuuu hizo zawadi tunapata liniHappy women's.. Kasie
Kuna zawadi yako murua jirani yangu...
Happy women's... Karma dada wangu wa ukweliii
Happy women's.... Heaven Sent dada wa ukwelii
Happy women's.... Lizzy mtu mwenye roho isiyo na hila.. roho nyeupe kama sufu..
... nyingi sana ka superwoman special yaani.. happy women's.. Saint Anne
..... mnazawadi zenu special yani..![]()


Sina njia nyingine ya kumpata mbali na hapa.Nilimuahidi namsubiria ! please muite akuje!!



Kifua chako ni kama nusu mbili za komamanga, itoshe tu kusema kwamba ntakufaidi 🤣🤣🤣
Kuna wale jamaa 24hrs wanaanzisha nyuzi za kuisifu serikali.Bila Kumsahau Elitwege![]()
Wanaume leo tumeitwa nguruwepori - jina baya kabisa na lenye kudhalilisha sana dah! Wanaume tunakwama wapi?
Njooni tukae kikao tujadili hili suala aisee maana siyo poa!![]()







khaaaaaaaah, kimeumanaaaahtulikubaliana hakuna kua singo kwenye kikao cha Leo mkwee!komaa nao tu hvyo hvyoo!!!
Au uanze kuhonga kama maloveee!!!!!!!






Nguruwe poriii
Nimecheka sana
Alikufanyaga Nini Hilo guruwe jamani!
Yaani dada mpole kama wewe Kuna guruwe la pori lilikuletea utopolo???
...
Ngoja HS aje atanitetea![]()









khaaaaahzawadi kesho mapema tu 🥳🥳Senkyuuu hizo zawadi tunapata lini![]()
Aisee, huyo mdau ana special seat mbinguni 🤣🤣Dah!
Kuna jamaa alianzisha uzi akiwaomba Mods wampige ban ya maisha huyu mwamba na akatoa ultimatum kuwa kama hawatafanya hivyo basi yeye ataondoka JF jumla. Comments za wadau sasa zilinivunja mbavu. Haukukaa sana uzi mods wakaufuta![]()
Kabisaa kiongozi.
Kila kitu hutokea Kwa sababu aisee.
Wasitutenge manguruwe pori jamani
Nawasimanga nguruwe pori wakati hata Mimi nahisi nilikuwa kundi la nguruwe pori![]()









sina mbavu wallah.
Tutaanza nahizo kwanza za bukubuku wamekosa!!View attachment 2143667
Hakuna kurudi Kwa manguruwe ya pori
Songa mbele kama injili ya Paulo![]()










Kabisa
Imeisha Kwa mbili hiyo,,bila Baki
Guruwe lolote lipambane na hali yake huko duniani kwenye makurubembe
Yakuache kabisa dada mzuri aisee.









Acha tuu,Nimeona skuna zetu
Dauh, yaani waje kabisa wakiwaa wamevaa yale mashati yao?Bila Kumsahau Elitwege![]()