Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Kaka ako hajapita bado?

Chakula kizuriView attachment 2143507
Very happy Women's day Kwa huyu aliyenitengenezea mboga hii ya Mlenda na Kisamvu
Ndiyo maana nimeanza kupata mwili kama wa JB na Peter Msechu
Happy Women's day to beautiful mother's out there.
Alooo


HM ndo nani?Hivi kuna mtu anamzidi HM wa road trip
Nyie mnatania nini!
Hamumjui kaka vizuri eeh
Breakfast tunakula Dodoma,Lunch Tanga,dinner Mwanza,kulala Mbeya
Wewe jamaaNa iwe kama ulivyoota shem wangu.
Wangeweka pale njia pande ya Mbozi kama unatokea Mbarali itakua safi sana.
Pia nadhani zisitumike zile picha zangu zenye bodygurad wangu...
Hii hapa ni safi sana.
View attachment 2143545


HM ndo nani?
Mimi na shemji angu hatumjui
Au ni yule Heche Mwalumumba wa pale Chunya?








Inamaanisha hiyo blenda hapo ya bwana shamba ilikua imenunuliwa halafu ilipoenda kuhesabiwa wakakubaliana nao kwaio wakaamua kuondokaKichwa changu kilivyo kizito,hata sijaelewa hiyo katuni
Eeeeeh!Inamaanisha hiyo blenda hapo ya bwana shamba ilikua imenunuliwa halafu ilipoenda kuhesabiwa wakakubaliana nao kwaio wakaamua kuondoka





Amen
Umeupiga mwingi mzee mwenzangu
Confirmed, wanajamvi wote...
Mtu pekee sitaki kuona ameweka mguu pale ni Bia Yetu
Sisemi uongo ndugu yangu


Wigeeeeee!!Kaa kwa kutulia
![]()
Shem kuna namna mdogo kasahaulika hapaHappy women's.. Kasie
Kuna zawadi yako murua jirani yangu...
Happy women's... Karma dada wangu wa ukweliii
Happy women's.... Heaven Sent dada wa ukwelii
Happy women's.... Lizzy mtu mwenye roho isiyo na hila.. roho nyeupe kama sufu..
..... mnazawadi zenu special yani.. 🎉🎉🎉
Embu tuache sie wakulima
Hata serikali ilishatangaza, kilimo ni uti wa mgongo

Unasema uongo ndugu yangu msaga kunguniWewe jamaa
Futuhi sana![]()