Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eeh!
Maisha yana magap..mimi ndio nasoma kwa mara ya kwanza.
Nitamalizia na hiki
Heaven Sent
Screenshot_20220114_093941.jpg
 
kwani unadhani kwenye picha sijaona!? unadhani picha za wanafunzi sizioni eti!? raha ya horsepower kubwa ivute mzigo wa maana sasa nianze kuhangaika na watu wa miaka 16 wa nini....
please nifungulie nikusalimie tu salamu tuuu..
Hahaha....Eti raha ya horsepower kubwa ivute mzigo wa maana

We jamaa bhana

Kwema lakini mkuu Kazakh destroyer
 
Nielekeze njia ya kufika huko basi😅
Ukipiga reverse kutoka Chit Chat utafika mtaa wa JF Social Forums, ukiingia kwenye huo mtaa achana na kona ya kwanza ya Urembo, pita Jamii, pita Celebrities then ingia kona ya Mahusiano. Nyumba ya kwanza kabisa kwenye hiyo kona ya Mahusiano ndo kwenyewe!

Ushindwe wewe tu 😄😄
 
Siwezi kuwa mention wote mkuu..Saigon dah jamaa anajua sn Yule
Fid q mwonekano unamkost Kwa wadada so sijashangaa kutomkubali..Ila kichwa take imejaa madini sn

Kuna dogo anaitwa con boy

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ebwanaaa daaaa daaaaa.... Saigon mnyama mkaliii sanaaa.. Lizzy

 
Back
Top Bottom