Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kashaija72
Kazakh destroyer

Manajua hii kitu namna inavyo work? Kama mkifanikiwa kujua hii namna inavyo move.. ni 🔥🔥🔥
Screenshot_20220114_112356_com.tradingview.tradingviewapp.jpg
 
komaaa hapahapa Chimbo zuri ni hapa selfika hakuna mwingine. Uzuri hapa hata kuwaona unawaona in selfie mode! !!
Jana nilikuwa kwenye coaster along Kyela - Mbeya. Sehemu moja tukakuta dada kama miaka 20 au 23 kamsindikiza mdogo wake anarudi shule. Wakuu yule dada ni mzuri. Urefu kawaida, rangi poa kabisaa, umbo la kujichora, suruali ndani ya kikoi gademiti uwani pako vizuri, anavyomuaga mdogo wake nkasikia sauti tamu ya kike. Mapigo yalienda 160/dk. Asingekuwa roho mtakatifu kunikumbusha ningeshuka asee.
Vijana Mambo matamu yapo kitaa.
 
Jana nilikuwa kwenye coaster along Kyela - Mbeya. Sehemu moja tukakuta dada kama miaka 20 au 23 kamsindikiza mdogo wake anarudi shule. Wakuu yule dada ni mzuri. Urefu kawaida, rangi poa kabisaa, umbo la kujichora, suruali ndani ya kikoi gademiti uwani pako vizuri, anavyomuaga mdogo wake nkasikia sauti tamu ya kike. Mapigo yalienda 160/dk. Asingekuwa roho mtakatifu kunikumbusha ningeshuka asee.
Vijana Mambo matamu yapo kitaa.
Hahaha....
 
Back
Top Bottom