Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hadi siku ukiniamini
Kwanini?
Kwanini?
Hapa nimekuwa keyboard warrior 😂😂😂Hivi mbona ile siku tumeonana ulikuwa huongei hivi?🤣🤣🤣
Ningecheka sana.
Roho inauma sana 😭😭😭😭😭😭
mbona unavunja mtego wa penalt haraka hivyo 😂😂😂hutaki tuje tule mchele mcheleMimi dada yako wakwanza kabisa ujue nitakubaka tu!🤣🤣🤣
Na siku hizi michepuko ina roga kwelii.. kama unayo minne, ikikuroga yote kwisha kabisa![]()
kwani unadhani kwenye picha sijaona!? unadhani picha za wanafunzi sizioni eti!? raha ya horsepower kubwa ivute mzigo wa maana sasa nianze kuhangaika na watu wa miaka 16 wa nini....Mimi dada yako wakwanza kabisa ujue nitakubaka tu!🤣🤣🤣
acha kabisaaa tuna rogwa sanaaa.. mtuvumilie asee.. hata mkiona akili zipo juu.. unarogwa Lindi, unarogwa mtwara, unalogwa sumbawanga.. tanga, kigomaa unafikiri kuna mtu hapo 😂😂😂Yaani mtu anamuhinga ada sijui kiwanja; lazima utafutwe msaada wa mtaalamu. Tena warogaji wa siku hizi ni masista duu hao
☺️🙈🙈🙈🙈 imejipost chap chap jamaniiUmesahau kunitag😒🤦♀️
Kwahiyo wadogo ni wanafunzi tu??? Mtu yeyote aliekupita miaka ni mkubwa wako! 9.8ms squared Kuanzia kesho Naomba mniamkie kabisakwani unadhani kwenye picha sijaona!? unadhani picha za wanafunzi sizioni eti!? please nifungulie nikusalimie tu salamu tuuu..
Shikamoo madam mahondaw 🙆♂️🙆♂️Kwahiyo wadogo ni wanafunzi tu??? Mtukula yeyote aliekupita miaka ni mkubwa wako! 9.8ms squared Kuanzia kesho Naomba mniamkie kabisa
Mkomeeeeeeeeeeee.acha kabisaaa tuna rogwa sanaaa.. mtuvumilie asee.. hata mkiona akili zipo juu.. unarogwa Lindi, unarogwa mtwara, unalogwa sumbawanga.. tanga, kigomaa unafikiri kuna mtu hapo![]()
Kweli Mkuu, ila nikifanikiwa hili nitaanza kutumia mbinu yako na kuiboresha zaidi Mimi ndiyo nitaanza kuwapiga vibomu kuwa nenda unikopee Benki Kuna mzigo wa Ile biashara yangu x,y,z umekwama Bandarini nahitaji 6M nikautoe.Na siku hizi michepuko ina roga kwelii.. kama unayo minne, ikikuroga yote kwisha kabisa 🤣🤣🤣
Wivu utakuua🤣🤣🤣🤣🤣!!!!Roho inauma sana 😭😭😭😭😭😭
Ardhi inatuzalia miiba eeeh 🙄🙄🙄Mkomeeeeeeeeeeee.
Mahondaw em mfanyie wepesi mtoto wa mwanamke mwenzio, angalau tu akupe hi. Msije mkasikia kajinyongaKwahiyo wadogo ni wanafunzi tu??? Mtukula yeyote aliekupita miaka ni mkubwa wako! 9.8ms squared Kuanzia kesho Naomba mniamkie kabisa
na aliekwambia nataka wadogo nani?! ujue nimefanya vetting ya kiwango cha special forces wa urusi af mambo ya umri hayakuhusu kwani we unajua umri wangu!? acha kujifanya mfanyakazi wa RITA basi nifungulie tusalimiane yaishe hujui hamu yangu ikiisha utakuwa umenisaidia..Kwahiyo wadogo ni wanafunzi tu??? Mtukula yeyote aliekupita miaka ni mkubwa wako! 9.8ms squared Kuanzia kesho Naomba mniamkie kabisa
🤣🤣🤣 ndio dawa hiyo.. asubuhi unaamka, unatuma message moja kwa michepuko yote.. kama kumi unatuma message ya laki tano kwa kila mmojaKweli Mkuu, ila nikifanikiwa hili nitaanza kutumia mbinu yako na kuiboresha zaidi Mimi ndiyo nitaanza kuwapiga vibomu kuwa nenda unikopee Benki Kuna mzigo wa Ile biashara yangu x,y,z umekwama Bandarini nahitaji 6M nikautoe.
Nikifanya hivi mara mbili, 3 lazima wanipe talaka wao wenyewe 😂😂