Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,982
- 177,205
Kha!!! Kapata nini tena mbona siwaelewiii???mwaka wako asee.. mwenzangu umepata tayari eeeh! Bado mie tu





! Vijana mna hekaheka nyiee!!
Kha!!! Kapata nini tena mbona siwaelewiii???mwaka wako asee.. mwenzangu umepata tayari eeeh! Bado mie tu





! Vijana mna hekaheka nyiee!!
wameanza kunisingizia ili juhudi ziishie njiani..Kha!!! Kapata nini tena mbona siwaelewiii???! Vijana mna hekaheka nyiee!!
![]()
Hakii Vijana siwawezi!!! Jana umesalimiana na mwanamke leo mtu wako mbona balaa tupu!!wameanza kunisingizia ili juhudi ziishie njiani..
achana nao mama, hawajui walisemalo..Hakii Vijana siwawezi!!!
hahahaha..rafiki we dili na mm muzee mwenzioHakii Vijana siwawezi!!! Jana umesalimiana na mwanamke leo mtu wako mbona balaa tupu!!
Wote nawe ukiwemo! Jana uliniahidi kitu naona leo umejisahau unataka nijute kukurudisha eti! ???achana nao mama, hawajui walisemalo..
salaaalee na mimi naunganishwaje hapo jamani!? kukufundisha ile FX au!?..Wote nawe ukiwemo! Jana uliniahidi kitu naona leo umejisahau unataka nijute kukurudisha eti! ???
mawardat unaona sasa nagombezwa..Wote nawe ukiwemo! Jana uliniahidi kitu naona leo umejisahau unataka nijute kukurudisha eti! ???
Hahahaaa.. Vijana kasi yao siiwezi rafiki...mi veteran afu mdeadly sasa hizi purukushani si unajua nilishashindwaga lakini 🤣🤣🙃!hahahaha..rafiki we dili na mm muzee mwenzio
🤣🤣🤣🤣! Ndio nielekeze ni kitu gani kile!salaaalee na mimi naunganishwaje hapo jamani!? kukufundisha ile FX au!?..
sasa hilo tu ndo uporomoshe juhudi zangu zote..🤣🤣🤣🤣! Ndio nielekeze ni kitu gani kile!
hahahaha...basi vzr umepata veteran mwenzio..hao vijana waachie vijana wenzaoHahahaaa.. Vijana kasi yao siiwezi rafiki...mi veteran afu mdeadly sasa hizi purukushani si unajua nilishashindwaga lakini 🤣🤣🙃!
mkuu tuheshimiane kabidhi lindo kwa amani huko, we haya..hahahaha...basi vzr umepata veteran mwenzio..hao vijana waachie vijana wenzao
hahahaha...mkuu nishakabidhi nipo hapa na veteran mwenzangu mahondaw tunayajenga..karibumkuu tuheshimiane kabidhi lindo kwa amani huko, we haya..
kwahyo mkuu tuseme umeona unipokee kijiti..hahahaha...mkuu nishakabidhi nipo hapa na veteran mwenzangu mahondaw tunayajenga..karibu
mkuu hkn tatizo kwa mm kuendeleza kijiti na wewe ukaishia hapa...hahahahakwahyo mkuu tuseme umeona unipokee kijiti..