Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huu mchuzi wa Wazanzibari sikuuelewa kabisa 🥴
20220113_133126.jpg
 
List ya wasanii wangu Bora
Bongo
Fid q
Fido vato
Chindo
Nikki mbishi
Saigon..jamaa ameacha muziki sasa hivi yupo radio Iman anatoa daawa
Tamaduni music(sasa hivi wanajiita kikosi kazi)

Mbele
Kendrick Lamar
Talib kweli
Ti
Drake
Ila Kendrick is my favourite artist
I've never really liked Fid Q...sijui kwanini. Saigon flow yake ni (au sijui ndio ilikuwa 🤔) imetulia sana.

Na Talib Kweli ni 👊🏾👊🏾 all around!!!!
Alafu mbona sijamuona Mos Def???
 
I've never really liked Fid Q...sijui kwanini. Saigon flow yake ni (au sijui ndio ilikuwa ) imetulia sana.

Na Talib Kweli ni all around!!!!
Alafu mbona sijamuona Mos Def???
Siwezi kuwa mention wote mkuu..Saigon dah jamaa anajua sn Yule
Fid q mwonekano unamkost Kwa wadada so sijashangaa kutomkubali..Ila kichwa take imejaa madini sn

Kuna dogo anaitwa con boy

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
kusema ukweli huo ndo uhalisia, ila nadekeza pia na kubembeleza in return sasa mapenzi ya kiaskari jeshi mtu anakuwa kama sultan makenga, siyapendi..
Yaan napenda kubembelezwa,kudeka ukoo unalijua hill, lakini wewe,umenizidi

Siwezi kubembeleza,

Halafu kosa huyo Ali yen u be be leva,sahizi ungekuwa unajililia tu huko,maana hakuna angekubembeleza ubaki
 
Yaan napenda kubembelezwa,kudeka ukoo unalijua hill, lakini wewe,umenizidi

Siwezi kubembeleza,

Halafu kosa huyo Ali yen u be be leva,sahizi ungekuwa unajililia tu huko,maana hakuna angekubembeleza ubaki
haahaha eti nimekuzidi halafu usije kuniharibia hapa nikaonekana hamna kitu, si umeona mahondaw amenirudisha kiutu uzima hapa roho nyeupeee..
 
Back
Top Bottom