Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20220113_225009.jpg
 
wakuu, ilikuwa experience nzuri mno kuwa na nyie hapa nimejifunza mengi na kupata mwanga kiasi juu ya muonekano na hulka ya baadhi ya members huku kwenye anonymity yetu....nawashukuru sana kwa hili na kama kuna mtu nilipata kumkosea tusameheane niko humble down to earth akitaka nitamuomba radhi hadharani, nimeyasema haya kuanzia leo mpaka milele sitoandika tena chochote huku muda wa kuwa uzi upo basi mimi sitochangia chochote tena uwe ujumbe huu ni wa kuaga kwa muda wote tuliokuwa pamoja hapa..
nichukue fursa hii kuwatakia usiku mwema na maisha mema..


mahondaw nashukuru mama, nashukuru sana kukufahamu..
9.8ms squared Heaven Sent na wengineo niliowasahau..

kazakh, destroyer

Kwa nini unatuaga jamani? Unakwenda wapi?
 
Michepuko nimeiambia nimefirisika, haitaki hata kupokea simu zangu wala kujibu sms.. hela hizi acha tu mkuu wangu.. unakuwa na daily account na kama hiyo boss. that why naweza fanya hivyo.. na uzuri michepuko toka imejua nimefuria hainataki siombwi hata hamsini
Ndio maaana Antonia umemuacha
 
wakuu, ilikuwa experience nzuri mno kuwa na nyie hapa nimejifunza mengi na kupata mwanga kiasi juu ya muonekano na hulka ya baadhi ya members huku kwenye anonymity yetu....nawashukuru sana kwa hili na kama kuna mtu nilipata kumkosea tusameheane niko humble down to earth akitaka nitamuomba radhi hadharani, nimeyasema haya kuanzia leo mpaka milele sitoandika tena chochote huku muda wa kuwa uzi upo basi mimi sitochangia chochote tena uwe ujumbe huu ni wa kuaga kwa muda wote tuliokuwa pamoja hapa..
nichukue fursa hii kuwatakia usiku mwema na maisha mema..


mahondaw nashukuru mama, nashukuru sana kukufahamu..
9.8ms squared Heaven Sent na wengineo niliowasahau..

kazakh, destroyer
Unabadili I'd na ku switch kwenye I'd nyingine..! Nini kimekukwaza hadi uondoke mazima mkuu!!??
 
wakuu, ilikuwa experience nzuri mno kuwa na nyie hapa nimejifunza mengi na kupata mwanga kiasi juu ya muonekano na hulka ya baadhi ya members huku kwenye anonymity yetu....nawashukuru sana kwa hili na kama kuna mtu nilipata kumkosea tusameheane niko humble down to earth akitaka nitamuomba radhi hadharani, nimeyasema haya kuanzia leo mpaka milele sitoandika tena chochote huku muda wa kuwa uzi upo basi mimi sitochangia chochote tena uwe ujumbe huu ni wa kuaga kwa muda wote tuliokuwa pamoja hapa..
nichukue fursa hii kuwatakia usiku mwema na maisha mema..


mahondaw nashukuru mama, nashukuru sana kukufahamu..
9.8ms squared Heaven Sent na wengineo niliowasahau..

kazakh, destroyer
Mmmh, BADO MAPEMA
 
wakuu, ilikuwa experience nzuri mno kuwa na nyie hapa nimejifunza mengi na kupata mwanga kiasi juu ya muonekano na hulka ya baadhi ya members huku kwenye anonymity yetu....nawashukuru sana kwa hili na kama kuna mtu nilipata kumkosea tusameheane niko humble down to earth akitaka nitamuomba radhi hadharani, nimeyasema haya kuanzia leo mpaka milele sitoandika tena chochote huku muda wa kuwa uzi upo basi mimi sitochangia chochote tena uwe ujumbe huu ni wa kuaga kwa muda wote tuliokuwa pamoja hapa..
nichukue fursa hii kuwatakia usiku mwema na maisha mema..


mahondaw nashukuru mama, nashukuru sana kukufahamu..
9.8ms squared Heaven Sent na wengineo niliowasahau..

kazakh, destroyer
Nime ku pm rafiki fanya kucheki!
 
Back
Top Bottom