Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
St Anne ni wa kupuuzwa tu.Ukimsikiliza mama mtumishi Saint Anne huwez kuenjoy maisha. Kula bia![]()
Maneno yake hayana maana.
Piga sana vyombo mkuu.
St Anne ni wa kupuuzwa tu.Ukimsikiliza mama mtumishi Saint Anne huwez kuenjoy maisha. Kula bia![]()
E Bwana Neno limepitwa na wakati.Huyu risala zake hazina mashiko Karne hii ya 21 zimepitwa na wakati![]()
Yaa, kama hutajali! Maadamu awe tu kama wewNifanyie mchakato basi maana naamini kabisa hayakuwa tofauti nawe


E Bwana Neno limepitwa na wakati.
Wewe karne hii piga vyombo.


hamna mtumishi ni pombe tu hata mapadri wanakunywa kwa afya tu
Huyu maji marefu bro, ligi yake sijui kama nitaiweza.
Magenius wa ulimwengu katika ubora wenu!Kabisa si wengine tulikua wafia dini kama yeye ila baada ya kujua ukweli wa hizi dini. Tumefata tunachoamini sisi![]()
Kuoa ingekuwa rahisi hivyo bro si kila mtu angeoa

Safi sana,piga vyombo hadi vikukome 😀.hamna mtumishi ni pombe tu hata mapadri wanakunywa kwa afya tu
Kwani Kuna fainali tena mbona hatujapewa ratibaSafi sana,piga vyombo hadi vikukome.
Fainali baadaye.
Ila kweli aisee, binafsi nilikua mlokole haswa tena haswa, ila ukitoka nje ya box kimawazo inagundua mengi sana na kupelekea kujiona mjinga hivi!Kabisa si wengine tulikua wafia dini kama yeye ila baada ya kujua ukweli wa hizi dini. Tumefata tunachoamini sisi![]()
Kwaiyo walokole mnatuona kama maboya flani hiviii 🙄🙄🙄Ila kweli aisee, binafsi nilikua mlokole haswa tena haswa, ila ukitoka nje ya box kimawazo inagundua mengi sana na kupelekea kujiona mjinga hivi!
Inakuja kama mwiviKwani Kuna fainali tena mbona hatujapewa ratiba
Ewaaa




Sasa huko kuvizianaInakuja kama mwivi
Kwa wale wanaojilewa wako vizuri wengi wao.Kwaiyo walokole mnatuona kama maboya flani hiviii![]()
AnywaySasa huko kuviziana
Kuna mmoja aliniuliza nasali wapi nikamwambia Lutheran dah akaanza kusema kule sio na bla bla kibao anavutia nihamie kanisani kwao ni kama kunyanganyana watejaKwa wale wanaojilewa wako vizuri wengi wao.
Ila wake wanao jihesabia bora kuliko wengine wote ambao hawako kwenye makanisa yao hai ndio mtihani.
Kwa mfano mtu anasalia Siloam anamuona yoyote asiye kua Siloam ni mwenye kupotea, kadhalika na wanajiita walokole huwaona wote wasio fungamana nao wamepotea.
Hapo ndio kwenye shida na walokole na wenye kujiita wameokoka.
Hivi ni kweli kwamba anaetumia pombe ni mwenye dhambi kuliko wote, au kweli maovu yote chanzo chake ni pombe?Anyway
Piga vyombo.