Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Inategemea na lengo mkuu.. kama una source tofauti inawezekana
Hapo lazima uwe na akaunti mbili au Tatu tofauti ili akaunti ya servings isiwe inaguswa Kwa kipindi ulichojiwekea labda miezi 6 au 12 kulingana na malengo yako.

Binafsi natunza kwenye akaunti ya Juniors nilizofungua kutunza akiba za watoto, kwangu natoa hela kila siku hata nikiombwa na mchepuko saa 4 Usiku natoa na kumtumia 🙊.
Mniombee 😢
 
Hapo lazima uwe na akaunti mbili au Tatu tofauti ili akaunti ya servings isiwe inaguswa Kwa kipindi ulichojiwekea labda miezi 6 au 12 kulingana na malengo yako.

Binafsi natunza kwenye akaunti ya Juniors nilizofungua kutunza akiba za watoto, kwangu natoa hela kila siku hata nikiombwa na mchepuko saa 4 Usiku natoa na kumtumia 🙊.
Mniombee 😢
Michepuko nimeiambia nimefirisika, haitaki hata kupokea simu zangu wala kujibu sms.. hela hizi acha tu mkuu wangu.. unakuwa na daily account na kama hiyo boss. that why naweza fanya hivyo.. na uzuri michepuko toka imejua nimefuria hainataki siombwi hata hamsini 😀😀😀
 
mahondaw kuanzia leo naomba usiselfike tena naskia wivu mkali sana yaani niko tayari tukose wote, kama una maskio na usikie ikiwezekana delete account kabisa nisijue kama upo hapa ukanda wa nchi za SADC..
Ndugu hebu tulia hahahahahahaa

Sasa watu wakasafishe macho wapi?? Pambana uingie huko piyemu sisi tunaenjoy hapa hapa
 
wanaume tumeumbiwa mateso, lidada lizuri hivyo hakiyanani namchukua namfunga kamba mguuni sitaki hata upepo umguse huko nje atakaa ndani kama yai la tausi..
😂😂😂😂😂 humu wadada wanavyotufanyia acha tu.. na ukiwafata PM wamefungaaa.. unabaki kutokwa mate tuuu
 
Back
Top Bottom