Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,220
Kula bia mkuuMwanza T 1990 ELY npo cask
Napiga Kilimanjaro bariiid nakuunga mkono pande hiiKula bia mkuu
Climb it or drink it "Kilimanjaro"
Dgo saiv mwili wako unarudisha fadhila hata kushikashika hela hata Kama sio zako roho inasuuzikaKama mimi tu
Thats it...Climb it or drink it "Kilimanjaro"

Ukimsikiliza mama mtumishi Saint Anne huwez kuenjoy maisha. Kula biaNapiga Kilimanjaro bariiid nakuunga mkono pande hii

Msalimie Antonia.. 😊😊Mwanza T 1990 ELY npo cask
Huyu risala zake hazina mashiko Karne hii ya 21 zimepitwa na wakatiUkimsikiliza mama mtumishi Saint Anne huwez kuenjoy maisha. Kula bia![]()

Ngoja nimtafute nimwambie nan anakusalimiaMsalimie Antonia..![]()
Kabisa si wengine tulikua wafia dini kama yeye ila baada ya kujua ukweli wa hizi dini. Tumefata tunachoamini sisiHuyu risala zake hazina mashiko Karne hii ya 21 zimepitwa na wakati![]()

Naona hadi picha amepiga kwakujiegesha tu apoMzee wetu Cal. Mika Metili (78) akiwa na mkewe mpya (27) ktk ndoa iliyofungwa KKKT USH WA ILBORU 09.01.2022
Walianza na utaratibu wa kurudi kundini na kibatiza mtoto wao wa miezi 7.
Mke wa kwanza wa Col. Metili alifariki 2021 kwa tatizo la upumuaji.
Tuwatakie ndoa njema na amani tele mzee wetu Mika na mjukuu wake huyu!
Vijana mmelaaalaaa,.laaalaaa..laaa!!!View attachment 2077421
😁😁😁.. Mume wakeNgoja nimtafute nimwambie nan anakusalimia
Kabisa mkuu ni kazi tu kwa bidii na sio bla bla mipunga hiyoooooo inaflowKabisa si wengine tulikua wafia dini kama yeye ila baada ya kujua ukweli wa hizi dini. Tumefata tunachoamini sisi![]()


😀😀😀😀 hapo zamani za kale..Aisee we jamaa 9.8ms squared una balaa ndio Dem wako huyu dah![]()
hapo zamani za kale..
unafaidi Sana hii material ni grade one kabisa