Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220112_220455.jpg
 
Mzee wetu Cal. Mika Metili (78) akiwa na mkewe mpya (27) ktk ndoa iliyofungwa KKKT USH WA ILBORU 09.01.2022

Walianza na utaratibu wa kurudi kundini na kibatiza mtoto wao wa miezi 7.

Mke wa kwanza wa Col. Metili alifariki 2021 kwa tatizo la upumuaji.

Tuwatakie ndoa njema na amani tele mzee wetu Mika na mjukuu wake huyu!

Vijana mmelaaalaaa,.laaalaaa..laaa!!!View attachment 2077421
Naona hadi picha amepiga kwakujiegesha tu apo
Anajua kuanzia mi5 kuendelea marupurupu kama nduguay vile
 
Back
Top Bottom