Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
πππππππππ
πππππππππ
Halafu ulikataa katakata kuniambia your former id!!daah nimepata shambulio la moyo bila kutarajia hapa nahisi damu inarudi miguuni badala ya kupanda kwenye moyo..
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£βοΈβοΈβοΈ!Ndugu hebu tulia hahahahahahaa
Sasa watu wakasafishe macho wapi?? Pambana uingie huko piyemu sisi tunaenjoy hapa hapa
Hongera kutumia janja hiyo, me nilihama michepuko kutoka Ile Jobless hadi ya Sasa yenye kazi but vibomu vyao ni Kila siku utasema mwenzao nafanya Benki ya Dunia π’πMichepuko nimeiambia nimefirisika, haitaki hata kupokea simu zangu wala kujibu sms.. hela hizi acha tu mkuu wangu.. unakuwa na daily account na kama hiyo boss. that why naweza fanya hivyo.. na uzuri michepuko toka imejua nimefuria hainataki siombwi hata hamsini πππ
Sasa Sisi tutaonea wapi jamani khaaaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£βοΈβοΈβοΈ!
Unarudi au unaondoka?Can't say I missed this place
But ohh well....reality is reality!
View attachment 2079687
View attachment 2079686
Hongera kutumia janja hiyo, me nilihama michepuko kutoka Ile Jobless hadi ya Sasa yenye kazi but vibomu vyao ni Kila siku utasema mwenzao nafanya Benki ya Dunia![]()
Saivi nataka niokoke tu mbona mtume Paulo aliweza![]()





mkuu muinjoy kwani mahondaw amekuwa fanta orange!? hivi huu wivu mkali kwa vitu visivyojulikana nautoa wapi!? hii hali sijaiskia muda mrefu tangu nipate uhuru wa kijinsia..Ndugu hebu tulia hahahahahahaa
Sasa watu wakasafishe macho wapi?? Pambana uingie huko piyemu sisi tunaenjoy hapa hapa
Mama Mchungaji niombee niokoke tu, yaani Mimi Leo hii wa kumlipia mtoto wa mchepuko ada ya Mwaka Mzima, kweli? π
πππ Michepuko ikujue huna hela huna pa kuishi kwisha habari yako.. hutopoeka simu wala sms.. na inakuwa inakukwepa hatariii... ukweli nashukuru sina kizinga hata kimoja πππππ.. hela yangu ni hela yangu na mama yangu..Hongera kutumia janja hiyo, me nilihama michepuko kutoka Ile Jobless hadi ya Sasa yenye kazi but vibomu vyao ni Kila siku utasema mwenzao nafanya Benki ya Dunia π’π
Saivi nataka niokoke tu mbona mtume Paulo aliweza πππππππ
Mama Mchungaji niombee niokoke tu, yaani Mimi Leo hii wa kumlipia mtoto wa mchepuko ada ya Mwaka Mzima, kweli?![]()
ndo utanipenda!? kwanini unataka kunisingizia eti nilikuwa na ID ya zamani ili ugundue nini kwenye huu upendo mpya unaonipata hapa..Halafu ulikataa katakata kuniambia your former id!!
Ama kweli wewe umeshikwaaa unalipa hadi ada ππππ.. Mie majuzi nimekutana na mdada tuliachana miaka mingi, ananiambia ana mtoto wangu ana miaka mitano sahii.. kidogo nijikwae.. nikamuambia mbona mie mgumba jamani πππππ.. akaamini akajizingusha akaja sema alikuwa ananitania na baada ya kuanza muelezea majangaaa yangu na hali ya ugumba.. nika win πππππMama Mchungaji niombee niokoke tu, yaani Mimi Leo hii wa kumlipia mtoto wa mchepuko ada ya Mwaka Mzima, kweli? π
mkuu kwa nilichokiona kwa huyu mahondaw niko tayari kwenda JF headquarters tufungiwe account wote mimi na yeye potelea mbali..πππππ humu wadada wanavyotufanyia acha tu.. na ukiwafata PM wamefungaaa.. unabaki kutokwa mate tuuu
Umeupiga mwingi,kucha nzuri sanaNkamuu![]()
π€£π€£π€£π€£Ama kweli wewe umeshikwaaa unalipa hadi ada ππππ.. Mie majuzi nimekutana na mdada tuliachana miaka mingi, ananiambia ana mtoto wangu ana miaka mitano sahii.. kidogo nijikwae.. nikamuambia mbona mie mgumba jamani πππππ.. akaamini akajizingusha akaja sema alikuwa ananitania na baada ya kuanza muelezea majangaaa yangu na hali ya ugumba.. nika win πππππ
πππ Pambambana mkuu, mie sina neno.. siku ya mcheleee naomba niwe mshengaaamkuu kwa nilichokiona kwa huyu mahondaw niko tayari kwenda JF headquarters tufungiwe account wote mimi na yeye potelea mbali..
Pambana mkuu pambanaaaaamkuu muinjoy kwani mahondaw amekuwa fanta orange!? hivi huu wivu mkali kwa vitu visivyojulikana nautoa wapi!? hii hali sijaiskia muda mrefu tangu nipate uhuru wa kijinsia..
Yaani nahisi hizi sio akili zangu kabisa, ngoja niende nyumbani wakanitapishe nilivyolishwa πAma kweli wewe umeshikwaaa unalipa hadi ada ππππ.. Mie majuzi nimekutana na mdada tuliachana miaka mingi, ananiambia ana mtoto wangu ana miaka mitano sahii.. kidogo nijikwae.. nikamuambia mbona mie mgumba jamani πππππ.. akaamini akajizingusha akaja sema alikuwa ananitania na baada ya kuanza muelezea majangaaa yangu na hali ya ugumba.. nika win πππππ