Gallius
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,999
- 8,353
Umepotea sana wee mwanaume!
Majukumu ya hapa na pale jumlisha likizo. Nashindwa kukufuata PM

Umepotea sana wee mwanaume!

we jamaa subiri basi nimalize kesi yangu nyie nendeni hata jukwaa la usiku wa manane..Itajulikana mbele ya safari, utajikuta zile ulizozificha unazitoa nakunipa 😂
na utashindwa sana..Majukumu ya hapa na pale jumlisha likizo. Nashindwa kukufuata PM![]()
Nawe si umefunga wewe nilishakuja kufata zawadi yangu ulokua unanidorishia nikagonga mwamba!🙃Majukumu ya hapa na pale jumlisha likizo. Nashindwa kukufuata PM![]()
Embu jaribu tena tuone… 😀Nawe si umefunga wewe nilishakuja kufata zawadi yangu ulokua unanidorishia nikagonga mwamba!🙃
Wee nishaolewa miyee!🚶!please please nasubiri kuona muujiza wa salamu huko 👉 💌..
and i won't share the update..
Zawadi haijaharibika kweli???Embu jaribu tena tuone… 😀
🤗🤗🤗😌😌🤗🤣🤣🤣🤣!!we jamaa subiri basi nimalize kesi yangu nyie nendeni hata jukwaa la usiku wa manane..
Yaani imeharibika kabisa maana katikati ya mwezi huu … 😜😜Zawadi haijaharibika kweli???
sasa salamu inavunja ndoa?! hata mimi nna wake tena wawili..Wee nishaolewa miyee!🚶!
Ee Mungu anipe nini mimi jamani🤗🤗
🤣🤣🤣🤣🤣 Jamanii!!sasa salamu inavunja ndoa?! hata mimi nna wake tena wawili..


Bora nisogee mbele zako tu utanihurumia kwenye vizinga
Weee zote hizo??
tusalimiane yaishe please, ikishindikana leo ntajiskia nimekanushwa hadharani sitoonekana tena hapa kwenye uzi..🤣🤣🤣🤣🤣 Jamanii!!
