Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nahisi wale makomdanoo moja walihisi pia kama test ya nidhamu kwao pia walikuwa na matarajio flani ila pia nidhamu bado ipo kwao.. sio kwamba walikuwa wanyonge
Yeah huo ndiyo ukweli waliamua tu kutii sheria na kuwa wapole hawakutaka kuleta ukorofi! Wanafikiri wale makomandoo wangeamua kufight back hao mapolisi wangebaki?
 
Back
Top Bottom